CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
Nataka nikitoka kanisani chap nipitie kwenye kikao cha ofisi,
sasa kwenye vikao mara nyingi huwa tunakuaga full gwanda
Juu lazima tutupie tshirt
Chini suruali vaaa yoyote ile,so ntanyuka cardet yangu 1 na ngwasuma yangu chini
Gari ni lazima niwe nalo so ntaingia church na ndinga ya ofisi kama kawaida
Kutokana na mvua za hapa na pale nadhani sitokosa mwamvuli kwa ajili ya vimanyunyu
kwakua wafanyakazi tunapewagwa kila kitu cha matumizi ya kila siku,mimi tayari nna mwamvuli wangu
Sasa ndugu zanguni hebu tusaidiane kushauriana huuu mtoko ni sahihi au
ntaonekana kondooo ninaekaribia toroka zizini???
Wameleta na cover za bible sema sijafanikiwa kuipata ila
sijajua sasa kwa mtoko huu ntachukuliwaje?
sasa kwenye vikao mara nyingi huwa tunakuaga full gwanda
Juu lazima tutupie tshirt
Chini suruali vaaa yoyote ile,so ntanyuka cardet yangu 1 na ngwasuma yangu chini
Gari ni lazima niwe nalo so ntaingia church na ndinga ya ofisi kama kawaida
Kutokana na mvua za hapa na pale nadhani sitokosa mwamvuli kwa ajili ya vimanyunyu
kwakua wafanyakazi tunapewagwa kila kitu cha matumizi ya kila siku,mimi tayari nna mwamvuli wangu
Sasa ndugu zanguni hebu tusaidiane kushauriana huuu mtoko ni sahihi au
ntaonekana kondooo ninaekaribia toroka zizini???
Wameleta na cover za bible sema sijafanikiwa kuipata ila
sijajua sasa kwa mtoko huu ntachukuliwaje?