Jumapili ijayo nataka kwenda kansani na mtoko huu,kuna shida?

CONTROLA

JF-Expert Member
Sep 15, 2019
6,935
22,915
Nataka nikitoka kanisani chap nipitie kwenye kikao cha ofisi,

sasa kwenye vikao mara nyingi huwa tunakuaga full gwanda

Juu lazima tutupie tshirt
h800-495105Hx5dH9D8.jpg


Chini suruali vaaa yoyote ile,so ntanyuka cardet yangu 1 na ngwasuma yangu chini

Gari ni lazima niwe nalo so ntaingia church na ndinga ya ofisi kama kawaida

h800-495105uuX4B8Pd.jpg

Kutokana na mvua za hapa na pale nadhani sitokosa mwamvuli kwa ajili ya vimanyunyu

kwakua wafanyakazi tunapewagwa kila kitu cha matumizi ya kila siku,mimi tayari nna mwamvuli wangu

1.jpg


Sasa ndugu zanguni hebu tusaidiane kushauriana huuu mtoko ni sahihi au

ntaonekana kondooo ninaekaribia toroka zizini???

Wameleta na cover za bible sema sijafanikiwa kuipata ila

sijajua sasa kwa mtoko huu ntachukuliwaje?
 
Nataka nikitoka kanisani chap nipitie kwenye kikao cha ofisi,

sasa kwenye vikao mara nyingi huwa tunakuaga full gwanda

Juu lazima tutupie tshirt
View attachment 1228242

Chini suruali vaaa yoyote ile,so ntanyuka cardet yangu 1 na ngwasuma yangu chini

Gari ni lazima niwe nalo so ntaingia church na ndinga ya ofisi kama kawaida

View attachment 1228244
Kutokana na mvua za hapa na pale nadhani sitokosa mwamvuli kwa ajili ya vimanyunyu

kwakua wafanyakazi tunapewagwa kila kitu cha matumizi ya kila siku,mimi tayari nna mwamvuli wangu

View attachment 1228247

Sasa ndugu zanguni hebu tusaidiane kushauriana huuu mtoko ni sahihi au

ntaonekana kondooo ninaekaribia toroka zizini???

Wameleta na cover za bible sema sijafanikiwa kuipata ila

sijajua sasa kwa mtoko huu ntachukuliwaje?
Mimi nimenza kwenda hivyo tangu J.2 iliyopita.

Na nimepewa kitengo cha ukusanyaji sadaka.
 
Unaenda kanisa lipi?
Kama ni Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume, hatuna muda wa kusoma maandishi ya nguo ya muumini, labda uwe umevaa vibaya lakini sio maandishi ya nguo yako.
 
Haina shida mbona sisi tunavaa iloandikwa "glory to god"tunaingia nayo guest na bar.
Nataka nikitoka kanisani chap nipitie kwenye kikao cha ofisi,

sasa kwenye vikao mara nyingi huwa tunakuaga full gwanda

Juu lazima tutupie tshirt
View attachment 1228242

Chini suruali vaaa yoyote ile,so ntanyuka cardet yangu 1 na ngwasuma yangu chini

Gari ni lazima niwe nalo so ntaingia church na ndinga ya ofisi kama kawaida

View attachment 1228244
Kutokana na mvua za hapa na pale nadhani sitokosa mwamvuli kwa ajili ya vimanyunyu

kwakua wafanyakazi tunapewagwa kila kitu cha matumizi ya kila siku,mimi tayari nna mwamvuli wangu

View attachment 1228247

Sasa ndugu zanguni hebu tusaidiane kushauriana huuu mtoko ni sahihi au

ntaonekana kondooo ninaekaribia toroka zizini???

Wameleta na cover za bible sema sijafanikiwa kuipata ila

sijajua sasa kwa mtoko huu ntachukuliwaje?
 
Nataka nikitoka kanisani chap nipitie kwenye kikao cha ofisi,

sasa kwenye vikao mara nyingi huwa tunakuaga full gwanda

Juu lazima tutupie tshirt
View attachment 1228242

Chini suruali vaaa yoyote ile,so ntanyuka cardet yangu 1 na ngwasuma yangu chini

Gari ni lazima niwe nalo so ntaingia church na ndinga ya ofisi kama kawaida

View attachment 1228244
Kutokana na mvua za hapa na pale nadhani sitokosa mwamvuli kwa ajili ya vimanyunyu

kwakua wafanyakazi tunapewagwa kila kitu cha matumizi ya kila siku,mimi tayari nna mwamvuli wangu

View attachment 1228247

Sasa ndugu zanguni hebu tusaidiane kushauriana huuu mtoko ni sahihi au

ntaonekana kondooo ninaekaribia toroka zizini???

Wameleta na cover za bible sema sijafanikiwa kuipata ila

sijajua sasa kwa mtoko huu ntachukuliwaje?


Aisee nakuonea wivu ile mbaya, yaani unakwenda kanisani umevaa full nondo....T-shirt, unasindikizwa na gari la Konyagi huku unaingia kanisani umeshika mwamvuli. Aisee hapa hata Padri akikuona atakufutia dhambi na kulamba miguu yako.
 
Kanisa katoliki hawana shida nenda nayo tu.Padri atafurahi atakuuliza Kama umekuja nayo chupa Moja ya konyagi umpe.
 
Back
Top Bottom