mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
- Thread starter
- #361
.Huu utabiri una ukweli mkubwa sana ndani yake. Hata Trump mwenyewe, faida zote ambazo zilipatikana chini ya utawala wake, zimefutwa na corona na sasa ni mwendo wa kuelekea chini hadi yeye mwenyewe kapanic anataka kuondoa social distancing na lock downs.
Mboga moyo ugali moto.
Ukitema nchale, ukimumunya nchale.
Ni wazi tunaelekea kwenye zile hali za mbwa kula mbwa!
Sent using Jamii Forums mobile app