kunywa chai,chat JF, kula cha mchana lala kidogo,amka jioni nenda kazurure sehemu isiyo na watu wengi wanaokufahamu kama una hela panda daladala lenye ruti ndefu shukia kituo cha mwisho zunguka kidogo kisha panda tena kurudi unapoishi,oga kula msosi wa usiku,peruzi mitandaoni,sali ulale