Juma Nature kumng'oa Mtemvu Temeke

Juma Nature kumng'oa Mtemvu Temeke

Joined
Jan 16, 2015
Posts
62
Reaction score
24
Msanii nguli wa kizazi Juma Kasim Kiloboto, atangaza rasmi nia ya kugombea ubunge jimbo la Temeke lakini alishindwa kuweka bayana ni chama gan atatumia kutimiza lengo hilo, la kuwaondolea kero wakaz wa Temeke. Tetesi zinanyetisha kuwa awali ilikuwa atangaze nia kupitia chama cha kafu, lakini mh Sugu amemshaur, kugombea kupitia CHADEMA jambo ambalo bado analifikiria.
 
Mbona wasanii wanakimbia kuimba wanakimbilia nini Bungeni; Hadija Kopa, Sugu, Vicky kamata, Juma Nkangaa, Amina Chifupa ..........endelea
 
Kiroboto bungeni.. hatare sana, ila jamaa ni maarufu sana, umaarufu wake unaweza muweka pazuri kama akitangaza nia.
 
msanii nguli wa kizazi juma kasim kiloboto, atangaza rasmi nia ya kugombea ubunge jimbo la temeke.lakn alishindwa kuweka bayana ni chama gan atatumia kutimiza lengo hilo, la kuwaondolea kelo wakaz wa temeke.lakn tetesi zinanyetisha kuwa awali ilikuwa atangaze nia kupitia chama cha kafu,lakn mh,sugu amemshaur, kugombea kupitia cdm jambo ambalo bado analifikiria.

Ganja bana, ni noma aisee!
 
msanii nguli wa kizazi juma kasim kiloboto, atangaza rasmi nia ya kugombea ubunge jimbo la temeke.lakn alishindwa kuweka bayana ni chama gan atatumia kutimiza lengo hilo, la kuwaondolea kelo wakaz wa temeke.lakn tetesi zinanyetisha kuwa awali ilikuwa atangaze nia kupitia chama cha kafu,lakn mh,sugu amemshaur, kugombea kupitia cdm jambo ambalo bado analifikiria.
Duh
mkuu una posti ka umesha piga ganja maskani!
 
Akagombee ccm huko hatutaki wahuni chadema otherwise ajirekebishe na ajiheshimu ili aheshimike mbele ya jamii uongozi ni kujiheshimu na kuheshiwa.
 
Mtemvu ni mwepesi kuliko pamba , mgombea yeyote kutoka UKAWA anamuondoa haraka sana , ile hela ya jimbo aliyompa HASHIM LUNDENGA Itamtafuna sana .
 
Mtemvu ni mwepesi kuliko pamba , mgombea yeyote kutoka UKAWA anamuondoa haraka sana , ile hela ya jimbo aliyompa HASHIM LUNDENGA Itamtafuna sana .

Ukisema pamba tunamkumbuka mwanetu wa pangani saleh pamba nae ni wale wale tu
 
Mmh bang feg mchanganyie kuber kisha mmix mix kwa maneno ya kihun" ataongea nni huyu nature bungen" au siku hizi na bungen kuna show za bongo fleva hukoo" bungen jaman kugum sana tena sana huy nature na afande sele waendelee tu na mibang yao
 
Umaarufu sasa bongo imekuwa shidaaah" basi hata matonya omba omba nae angekuwa hai angetangaza nia ya kugombea ubunge c nae alikuwa maarufu
 
Back
Top Bottom