Juma Mohammed Mchopanga a.k.a. Jay Moe

Juma Mohammed Mchopanga a.k.a. Jay Moe

bily

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
8,029
Reaction score
5,813
Huyu jamaa katika Tanzania hii ukimtoa Hasheem Dogo, sijui kama kuna msanii anaeweza kumfikia kwa tungo zake! Hakika mchops aka moe technics anastahili sifa na tunzo maalum kutokana na kazi zake nzuri alizotoa na anazotoa.

Mfano, Maisha ya boarding, Narudi shule, Stori tatu, Mvua na Jua na cheza kidogo. Ama kweli hata ukimuuliza Kinywele aka Majani, msanii anaemkubali atakwambia Mchops. Huu ni mtazamo wangu!

images
 
namkubari sana hasa ule wa maisha ya bording nikiwa katoke seminar.father victor alinifanya nichukie shule
 
Hasheem?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Jamaa noma ndo nmetoka kusikiliza masong yake....., moja kat ya wasanii wa hip hop nnaowakubal Tanzania......
 
Maisha ya bording ndio ngoma yake ambayo naihusudu sana.
 
kusema kweli jamaa anajua mziki.
 
"teacher class ana-teach somethin',
nje watu wana-puff somethin',
mtoto wa mama bora usome bongo Dar es Salam,
Irambo hakuna tuition,
Irambo hakuna mission,
kwenda town mpaka uvizie gari la Mission"
 
beefinjector,

Ukishakuwa maarufu lazima ukubali skendo... sio kila siku watasifu lazima watapiga dongo... Kuna Wengine hawapitishi hata wiki wamefanya jambo... Na wengine wakiona hawaskiki watajifanya wana skendo... Juma ndo yuleyule umashuhuri haujanibadilisha... Ni upara hakuna nywele style ya kiduku itapita.
 
Last edited by a moderator:
me sielewi kwanini watu wanamsifia sana huyo Hashim Dogo, hivi ukitoa Tunasonga aliyofanya na Pina & Shadow of the month nyimbo zipi nyingine kali alizofanya?Kwa upande wa JMO i have no doubt jamaa mkali sana

Mkuu kuna vitu vingi sana Dogo Hashim anavyo huwezi kuvipata kwa wasanii wengi. Idadi ya nyimbo sio issue maana haiwakilishi uwezo. Hashim ni msanii wa hip hop aliyekamilika na unaweza kumsimamisha na wasanii wakubwa wa Hip hop wa Marekani usione tofauti.Kama unajua muziki na hujaanza kusikiliza juzi huwezi kubisha.
 
nakumbuka jay moe aliwai kuzikandia tuzo za kili.
 
Wasanii wa bongo flavor wana majina mabaya na mabovu lakini wanavyojua kuyajaradia utadhani keki kumbe uchafu mtupu.
Embu fikirikia jina la Mchopange.
 
wasanii wa bongo flavor wana majina mabaya na mabovu lakini wanavyojua kuyajaradia utadhani keki kumbe uchafu mtupu.
Embu fikirikia jina la mchopange.

mkuu ni mchopanga siyo mchopange
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom