Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
Nadhani ni wakati wa Juma Kaseja Kuyasoma hayo maandishi ukutani, nilimuangalia sana udakaji wake wa jana nikaona hakika jua linazama kwani si Kaseja yule wa Simba, na ashukuru mipira kadhaa iliyomgonga mikononi
sina haika sana lakn naambiwa baada ya mechi ya jana mashabiki kadhaa walimrushia chupa, wakati huo nikiwa nimeshatoka, na habari zaidi zinajuza kwamba hasira zimezidi kwani washabiki wa Yanga wanamtuhumu kuhusika na kuumia kwa Dida katika mazingira ya utata kwamba huenda "Kamati ya Ufundi" ya Juma imehusika
sina haika sana lakn naambiwa baada ya mechi ya jana mashabiki kadhaa walimrushia chupa, wakati huo nikiwa nimeshatoka, na habari zaidi zinajuza kwamba hasira zimezidi kwani washabiki wa Yanga wanamtuhumu kuhusika na kuumia kwa Dida katika mazingira ya utata kwamba huenda "Kamati ya Ufundi" ya Juma imehusika