Shenkalwa
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 580
- 132
Tawala nyingi zilizoanguka katika dunia hii toka enzi za mababu ziliangushwa baada ya dalili nyingi kujitokeza zikiwa ni pamoja na watawala kutoshaurika, kujiona wao ni miungu zaidi ya Mungu na kuwanyima watu wao yale wanayoyastahili na badala yake watawala kujipenda wenyewe na familia zao, na marafiki zao na jamaa wa koo zao na kuwaacha wengine wakihangaika na maisha.
Zaidi sana kuwanyanyasa kwa kuwabambikia makosa ambayo ni ya kutengenezwa ili mradi tu mkubwa mmoja amemchukia mtu fulani. Haya pamoja na mengine mengi ndiyo yanayotokea katika Tanzania ya leo. utawala uliopo madarakani kwa kupitia ccm hebu someni maneno haya: Mene mene tekeli na pelesi
Zaidi sana kuwanyanyasa kwa kuwabambikia makosa ambayo ni ya kutengenezwa ili mradi tu mkubwa mmoja amemchukia mtu fulani. Haya pamoja na mengine mengi ndiyo yanayotokea katika Tanzania ya leo. utawala uliopo madarakani kwa kupitia ccm hebu someni maneno haya: Mene mene tekeli na pelesi