PostGE2025 Juma Jux: Mungu awatie nguvu na faraja waathirika wote

PostGE2025 Juma Jux: Mungu awatie nguvu na faraja waathirika wote

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Juma Jux kupitia ukurasa wake wa Instagram ametoa pole kwa famili zilizopoteza watu katika maandamano.

"Mungu ibariki 🇹🇿 tanzania, praying for peace and healing. Mungu awatie nguvu na faraja waathirika wote. 💔🙏🏽
1762259342131.png
 
Sio kwamba wasanii akili zimerudi

Hawa wasanii wote wamepewa maagizo kutoka juu

Angalia aina ya post zao zinafanana ujumbe "amani" "poleni sana" "tuwe na subira", "tukae pamoja" na blaah blaah kama hizo

Millard Ayo kapewa kandarasi ya kurusha hizo jumbe zao za kinafiki

Msiwape airtime kmmmk wasenge tu hao
 
Asijitekenye!, Nyimbo zake watakua wanasikiliza wanaijeria.
 
Back
Top Bottom