Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?


Juma Duni mbona kimya sana, ukweli ni upi makamanda.
 
Hawezi kujitoa maana taifa litapata hasara ya kuahirisha uchaguzi
 

Yupo mapumzikoni Pemba.
 


UKAWA ni gunia la viwavi njaa hakuna mwanasiasa hata mmoja; wote wanalilia masilahi tu yani aibu
 
Amepumzika sababu jeshi la Lowassa na Sumaye linatosha ameona ajiandae kukabili shughuli za kutumikia wananchi kwani wanasubiria kuapishwa tu
VIVA UKAWA!!
 
Dhamira imemsuta kujitoa cuf kaamua kurudi kimyakimya.
 
UKAWA ni gunia la viwavi njaa hakuna mwanasiasa hata mmoja; wote wanalilia masilahi tu yani aibu

Kama CCM wangekuwa siyo VIWAVI njaa vya kukimbilia UONGOZI nadhani safafri hii wangeacha kabisa kuteua wagombea kwenye nafasi zote ,wakawaacha wapinzani tu.

Ila kwasababu wote wanasiasa wanataka kushika DOLA/MADARAKA basi wote ni VIWAVI wanaotafuta maslahi binafsi kwanza ya TAIFA baadaye.

Safari hii hatudanganyiki hata baada ya kutuambia GADAFI ni rais wa .................
 

Mwe babu duni ni tatizo bhnaa
 
Babu duni kwa heshima aliyonayo kaona akae mbali maana jamaa anamdhalilisha kila akifika stand yeye anakata gogo hadharani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…