JUMA DUNI KAPOTELEA WAPI?
Mgombea mwenza Ukawa Babu Duni amekata tamaa kabisa ya kutoendelea na mikutano ya kampeni kutokana na zomeazomea kuendelea kuikabili Ukawa.
Hata hivo kuna uwezekano Babu Duni akawa amesoma upepo mapema hivo kuamua kijiondoa ili kupunguza upotevu wa gharama.
Mbali na hivyo kwa taarifa za ndani kutoka CUF inasemekana anatakiwa arudi CUF kwasababu Ukawa wamekiuka makubaliano yaliyoafikiwa juu ya usawa wa vyama shiriki ukawa hivyo anatakiwa kujiondoa haraka Chadema arudi CUF na huo ndio utakua mwisho wa Ukawa
Hawezi kujitoa maana taifa litapata hasara ya kuahirisha uchaguzi
JUMA DUNI KAPOTELEA WAPI?
Mgombea mwenza Ukawa Babu Duni amekata tamaa kabisa ya kutoendelea na mikutano ya kampeni kutokana na zomeazomea kuendelea kuikabili Ukawa.
Hata hivo kuna uwezekano Babu Duni akawa amesoma upepo mapema hivo kuamua kijiondoa ili kupunguza upotevu wa gharama.
Mbali na hivyo kwa taarifa za ndani kutoka CUF inasemekana anatakiwa arudi CUF kwasababu Ukawa wamekiuka makubaliano yaliyoafikiwa juu ya usawa wa vyama shiriki ukawa hivyo anatakiwa kujiondoa haraka Chadema arudi CUF na huo ndio utakua mwisho wa Ukawa
Hawezi kujitoa maana taifa litapata hasara ya kuahirisha uchaguzi
So ameamua kukaa kimya ili kupunguza gharama zisizo za lazima.
JUMA DUNI KAPOTELEA WAPI?
Mgombea mwenza Ukawa Babu Duni amekata tamaa kabisa ya kutoendelea na mikutano ya kampeni kutokana na zomeazomea kuendelea kuikabili Ukawa.
Hata hivo kuna uwezekano Babu Duni akawa amesoma upepo mapema hivo kuamua kijiondoa ili kupunguza upotevu wa gharama.
Mbali na hivyo kwa taarifa za ndani kutoka CUF inasemekana anatakiwa arudi CUF kwasababu Ukawa wamekiuka makubaliano yaliyoafikiwa juu ya usawa wa vyama shiriki ukawa hivyo anatakiwa kujiondoa haraka Chadema arudi CUF na huo ndio utakua mwisho wa Ukawa
Yupo likizo, ameambiwa apumzike kidogo
Endelea na ndoto yako ndugu
UKAWA ni gunia la viwavi njaa hakuna mwanasiasa hata mmoja; wote wanalilia masilahi tu yani aibu
Kama CCM wangekuwa siyo VIWAVI njaa vya kukimbilia UONGOZI nadhani safafri hii wangeacha kabisa kuteua wagombea kwenye nafasi zote ,wakawaacha wapinzani tu.
Ila kwasababu wote wanasiasa wanataka kushika DOLA/MADARAKA basi wote ni VIWAVI wanaotafuta maslahi binafsi kwanza ya TAIFA baadaye.
Safari hii hatudanganyiki hata baada ya kutuambia GADAFI ni rais wa .................