Juma Duni Haji ajiengua Rasmi CHADEMA

Juma Duni Haji ajiengua Rasmi CHADEMA

Mkuu hiyo in katiba yao wenyewe cut sio ya nchi,na Duni alishiriki kuipitisha

Babu Duni alilazimika kuhama chama kwa sababu sheria za hovyo zililazimisha ahame ili awe mgombea mwenza wa UKAWA.
 
Babu Duni alilazimika kuhama chama kwa sababu sheria za hovyo zililazimisha ahame ili awe mgombea mwenza wa UKAWA.
Ukawa ni nini? Imesajiliwa wapi?
Uchu wa madaraka ulimfanya asaliti itikadi yake,usisingizie sheria
 
Kwa muda mrefu Babu Duni amekuwa kimya, kwenye medani ya siasa, hii sio jambo jema mwanasiasa kuwa kimya kiasi hiki,

Hivi bado yupo UKAWA? maana hata kwenye mikutano ya UKAWA sijawai kumuona au ndiyo "KIFO CHA MENDE MBENDEMBEDE CHALIII"
 
Ukawa ipo vilevile, wewe unazungumzia vikao vya CUF na chadema au ukawa?
 
Kwa muda mrefu Babu Duni amekuwa kimya, kwenye medani ya siasa, hii sio jambo jema mwanasiasa kuwa kimya kiasi hiki,

Hivi bado yupo UKAWA? maana hata kwenye mikutano ya UKAWA sijawai kumuona au ndiyo "KIFO CHA MENDE MBENDEMBEDE CHALIII"
FMM.jpg
 
"Tamaa ya umakamu wa Rais" Pole sana kwa kujifanya hamnazo. Ungejiuliza ndege ni muhimu kuliko elimu ?au maji?
 
Back
Top Bottom