beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Kiongozi wa chama hicho cha siasa, Zitto Kabwe amesema kuwa Kamati ya Uongozi wa chama hicho imeridhia pendekezo lake la kumteua Naibu Kiongozi
Zitto ambaye ni Mbunge wa Kigoma Mjini ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama hicho amwpewa mamlaka ya kuweza kupendekeza jina
Uteuzi wa Juma Duni Haji aliyewahi kuwa Waziri wa Afya wa Zanzibar, Makamu Mwenyekiti wa CUF na Mgombea Urais kupitia UKAWA 2015 utaanza kesho Jumatano Machi 27, 2019
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto ambaye ni Mbunge wa Kigoma Mjini ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama hicho amwpewa mamlaka ya kuweza kupendekeza jina
Uteuzi wa Juma Duni Haji aliyewahi kuwa Waziri wa Afya wa Zanzibar, Makamu Mwenyekiti wa CUF na Mgombea Urais kupitia UKAWA 2015 utaanza kesho Jumatano Machi 27, 2019
Sent using Jamii Forums mobile app