Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Uchaguzi wa Kwanza wa Vyama Vingi Tanzania 1995 Mwalimu Nyerere, alienda Dodoma kuhakiki zoezi la Kupatikana Mgombea wa Chama, Mwalimu Nyererealivyohojiwa na Waaandishi hasa ni Kwanini amejiyosa huko! Alijibu, ,"Siwezi kwenda Butiama Kulala Usingizi huku niache nchi yangu Ikichukuliwa na Mbwa!"
Watu kwa makusudi walioyajua Mwenyewe wakadai ati Mwalimu Nyerere alimaanisha Wapinzani ni Mbwa! Wapinzani haikuwa sababu ya Mwalimu Kujitosa, Ila aliogopa Nchi kuangukia Mikononi mwa watu wenye Kiburi na Udictator! Mtu ambaye alimsema wazi ni anageuka mbogo anapohojiwa au Kushauriwa alikuwa ni John Samwel Malecela na Nyerere alimlazimisha aondoe jina lake kwenye list.
Majina mengine galiondolewa kwa kuwa Nyerere alihisi walipingana sana na siasa ya Ujamaa, na Akahisi walikuwa na Tamaa ya Utajiri. Ingawa hawakuwa na hatia, Nyerere alihofia wakishinda watawasahau Masikini, Nao ni Msuya na Lowassa.
Ila Sirudii kutaja Majina hapa! Mbwa kwa Nyerere alimaanisha Wenye hulka za Udictator na Kiburi. Mmoja alipoambiwa aondoe jina akawa Mjanja akanyamaza, hakubishana na Nyerere, Mwingine akabishana sana, akidai, "Nyerere ni Kiumbe na Mimi ni Kiumbe" Na baada ya Uchaguzi akaendelea Kusema, "CCM haina Dira wala Mwelekeo" Ingawa alikuwa ni Mtu Jasiri asiye na hofu, Akaitwa kuhojiwa ati mahojiano yale yakamtisha na kumpa mshituko wa moyo! Hatuko naye Tena!
Je hofu ya Nyerere imekuja Kutimia yeye akiwa hayupo tena nasi?
Mbwa alimaanisha ninyi takataka chadema, na ndoo maana alimkataa Fisadi Lowasa ambaye mnaye huko!