Julius Nyerere: Siwezi kuacha nchi yangu iangukie mikononi mwa mbwa!

Uchaguzi wa Kwanza wa Vyama Vingi Tanzania 1995 Mwalimu Nyerere, alienda Dodoma kuhakiki zoezi la Kupatikana Mgombea wa Chama, Mwalimu Nyererealivyohojiwa na Waaandishi hasa ni Kwanini amejiyosa huko! Alijibu, ,"Siwezi kwenda Butiama Kulala Usingizi huku niache nchi yangu Ikichukuliwa na Mbwa!"

Watu kwa makusudi walioyajua Mwenyewe wakadai ati Mwalimu Nyerere alimaanisha Wapinzani ni Mbwa! Wapinzani haikuwa sababu ya Mwalimu Kujitosa, Ila aliogopa Nchi kuangukia Mikononi mwa watu wenye Kiburi na Udictator! Mtu ambaye alimsema wazi ni anageuka mbogo anapohojiwa au Kushauriwa alikuwa ni John Samwel Malecela na Nyerere alimlazimisha aondoe jina lake kwenye list.

Majina mengine galiondolewa kwa kuwa Nyerere alihisi walipingana sana na siasa ya Ujamaa, na Akahisi walikuwa na Tamaa ya Utajiri. Ingawa hawakuwa na hatia, Nyerere alihofia wakishinda watawasahau Masikini, Nao ni Msuya na Lowassa.

Ila Sirudii kutaja Majina hapa! Mbwa kwa Nyerere alimaanisha Wenye hulka za Udictator na Kiburi. Mmoja alipoambiwa aondoe jina akawa Mjanja akanyamaza, hakubishana na Nyerere, Mwingine akabishana sana, akidai, "Nyerere ni Kiumbe na Mimi ni Kiumbe" Na baada ya Uchaguzi akaendelea Kusema, "CCM haina Dira wala Mwelekeo" Ingawa alikuwa ni Mtu Jasiri asiye na hofu, Akaitwa kuhojiwa ati mahojiano yale yakamtisha na kumpa mshituko wa moyo! Hatuko naye Tena!

Je hofu ya Nyerere imekuja Kutimia yeye akiwa hayupo tena nasi?


Mbwa alimaanisha ninyi takataka chadema, na ndoo maana alimkataa Fisadi Lowasa ambaye mnaye huko!
 
Stop twisting the truth! Malecela hakukatwa sababu za udikteta...ishu ilikuwa ni ile Memorandum of Understanding (MoU) aliosainishwa na watoto wa Muscat...period...
 
Ila Kenya kauli hii ilisababisha Odinga apigwe chini na wananchi iliyotolewa na Kenyatta;

Hahahahaha, [HASHTAG]#Uhuru[/HASHTAG] kwenye kampeni alisema hivi " Si mumemsikia vile anasema eti akishinda anataka Kenya iongozwe kama [HASHTAG]#makofuri[/HASHTAG] huko Tz sasa nawauliza ninyi mwataka udikteta?, Hapanaaaaaa! je mwataka aliyekuwa anakula mkate na siagi aanze kula bagia tu? Hapanaaaa! je mwataka hata bunge zenu msizione wakati ninyi ndio bosi wetu?? Hapanaaaa! je nanyi waandishi wetu wazuri mwataka eti muandike anachotaka yeye? Hapanaaa! sasa ndugu zangu huko Tz huyo Makofuri anataka watz waishi kama shetani sasa kweni nanyi mwataka hivyo? Hapanaaa! " Wakenya wakaona huyu Dinga hafai kabisa! naye anajua hivyo hajajichanganya!
 
Ila Kenya kauli hii ilisababisha Odinga apigwe chini na wananchi iliyotolewa na Kenyatta;

Hahahahaha, [HASHTAG]#Uhuru[/HASHTAG] kwenye kampeni alisema hivi " Si mumemsikia vile anasema eti akishinda anataka Kenya iongozwe kama [HASHTAG]#makofuri[/HASHTAG] huko Tz sasa nawauliza ninyi mwataka udikteta?, Hapanaaaaaa! je mwataka aliyekuwa anakula mkate na siagi aanze kula bagia tu? Hapanaaaa! je mwataka hata bunge zenu msizione wakati ninyi ndio bosi wetu?? Hapanaaaa! je nanyi waandishi wetu wazuri mwataka eti muandike anachotaka yeye? Hapanaaa! sasa ndugu zangu huko Tz huyo Makofuri anataka watz waishi kama shetani sasa kweni nanyi mwataka hivyo? Hapanaaa! " Wakenya wakaona huyu Dinga hafai kabisa! naye anajua hivyo hajajichanganya!
Mmmhhh weka video au audio ya hayo maneno
 
MKUBHWA,

NYERERE hakuwa anamaanisha MREMA peke yake. MWL alikuwa akimaanisha 'mbwa na vijiumbwa' ndani na nje ya CCM: REJEA (1) KITABU 'UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA'; (2) HOTUBA YA YAKE MEI 1, 2005; NA (3) HOTUBA KWA NEC CCM NA MKUTANO MKUU TAIFA CCM. MWL ALIHAKIKISHA WANATUTAWALA SASA NA WALIO NJE KAMA KINA JOHN SIGWEYAMISI ANAWATEKEKTEZA KISIASA.

NI KWELI LAKINI, AKIFUFUKA ATAJILAUMU KWA KUTOA KAULI ILE KWANI ATAGUNGUA KUWA HATA WALE ALIOAMINI KUWA SI MBWA, KUMBE NDO MAMBWAMWITU!
Umenichanganya kwa mwaka 2005, nini mwalimu hapo kwamaana hakuwepo fafanua
 
Uchaguzi wa Kwanza wa Vyama Vingi Tanzania 1995 Mwalimu Nyerere, alienda Dodoma kuhakiki zoezi la Kupatikana Mgombea wa Chama, Mwalimu Nyererealivyohojiwa na Waaandishi hasa ni Kwanini amejiyosa huko! Alijibu, ,"Siwezi kwenda Butiama Kulala Usingizi huku niache nchi yangu Ikichukuliwa na Mbwa!"

Watu kwa makusudi walioyajua Mwenyewe wakadai ati Mwalimu Nyerere alimaanisha Wapinzani ni Mbwa! Wapinzani haikuwa sababu ya Mwalimu Kujitosa, Ila aliogopa Nchi kuangukia Mikononi mwa watu wenye Kiburi na Udictator! Mtu ambaye alimsema wazi ni anageuka mbogo anapohojiwa au Kushauriwa alikuwa ni John Samwel Malecela na Nyerere alimlazimisha aondoe jina lake kwenye list.

Majina mengine galiondolewa kwa kuwa Nyerere alihisi walipingana sana na siasa ya Ujamaa, na Akahisi walikuwa na Tamaa ya Utajiri. Ingawa hawakuwa na hatia, Nyerere alihofia wakishinda watawasahau Masikini, Nao ni Msuya na Lowassa.

Ila Sirudii kutaja Majina hapa! Mbwa kwa Nyerere alimaanisha Wenye hulka za Udictator na Kiburi. Mmoja alipoambiwa aondoe jina akawa Mjanja akanyamaza, hakubishana na Nyerere, Mwingine akabishana sana, akidai, "Nyerere ni Kiumbe na Mimi ni Kiumbe" Na baada ya Uchaguzi akaendelea Kusema, "CCM haina Dira wala Mwelekeo" Ingawa alikuwa ni Mtu Jasiri asiye na hofu, Akaitwa kuhojiwa ati mahojiano yale yakamtisha na kumpa mshituko wa moyo! Hatuko naye Tena!

Je hofu ya Nyerere imekuja Kutimia yeye akiwa hayupo tena nasi?
Hapana kwakuwa yeye hakupenda usawa alipenda ubwana ndiomaana wazo lake tu kwasehem kubwa ndio likubaliwe ndio inaendelea mpaka sasa
 
Mkuu umetulisha matango pori Msuya hakuondolewa alibaki mpaka tatu (3) bora yeye Kikwete na Mkapa.
 
Hivi hamjiulizi why mchonga aliongea hayo maneno ikiwa ni baada tu ya kutoka safari za nje?
 
Ukitaka habari inoge usimtaje Lowassa ndo utapata wachangiaji wengi sana.

Hapa umekosea ingawa ndo ukweli kuwa Lowassa ndo genge kuu la kulamba nchi hii.
Mwaka 1995 mwalimu Nyerere alisema, "I can't let my country go to the dogs, akimaanisha Augustine Mrema na NCCR-Mageuzi wakati ule.

Maskini Nyerere hakujua kuwa nyumbani kwake walikuwa wamejaa mbwa tena kusiri!

Miaka zaidi ya kumi tangu Nyerere ang'ake. Je Tanzania haikwenda kwa hao mbwa ambao wengi wao wamegeuka kuwa hata mchwa wakitafuna kila kitu hata takataka?

Akina Benjamin Mkapa, Daniel Yona, Basil Mramba, Nazir Karamagi, Edward Lowassa, Mstapha Mkulo, Idd Simba, Ibrahim Msabaha, Cyril Chami, William Lukuvi, Anna Makinda, Samuel Sitta, Juma Ngatunga, Jakaya Kikwete, Ali Hassan Mwinyi ni nani jamani?

Should we let our country fall in the hands of dogs or do something?
 
Ondoa jina la mzee wetu Mwinyi jatika hii mada, ni utovu wa nidhamu kumuingiza mzee wetu katika hili wakati unajua wazi, Wakati kauli hii inatolewa mzee Mwinyi alikuwa anastaafu!!

Watanzania bado tunamkumbuka na kumheshimu mzee Mwinyi kwa kutuletea demokrasia ya vyama vingi na kutupa uchumi wenye unafuu baada ya sera za kiuchumi zilizofeli za Julius Nyerere.

Mleta mada, mpe heshima yake mzee Ruksa!!
 
Tumia akili angalia hapa wanaliotajwa hata kama hujui.
Tazama.jpg
1462508634268.jpg

Tangu vita ya ufisadi ianze umemsikia lowasa akitajwa mahali? mbona ni ndani ya ccm tu wanatoka hayo majizi?
 
Uchaguzi wa Kwanza wa Vyama Vingi Tanzania 1995 Mwalimu Nyerere, alienda Dodoma kuhakiki zoezi la Kupatikana Mgombea wa Chama, Mwalimu Nyererealivyohojiwa na Waaandishi hasa ni Kwanini amejiyosa huko! Alijibu, ,"Siwezi kwenda Butiama Kulala Usingizi huku niache nchi yangu Ikichukuliwa na Mbwa!"

Watu kwa makusudi walioyajua Mwenyewe wakadai ati Mwalimu Nyerere alimaanisha Wapinzani ni Mbwa! Wapinzani haikuwa sababu ya Mwalimu Kujitosa, Ila aliogopa Nchi kuangukia Mikononi mwa watu wenye Kiburi na Udictator! Mtu ambaye alimsema wazi ni anageuka mbogo anapohojiwa au Kushauriwa alikuwa ni John Samwel Malecela na Nyerere alimlazimisha aondoe jina lake kwenye list.

Majina mengine galiondolewa kwa kuwa Nyerere alihisi walipingana sana na siasa ya Ujamaa, na Akahisi walikuwa na Tamaa ya Utajiri. Ingawa hawakuwa na hatia, Nyerere alihofia wakishinda watawasahau Masikini, Nao ni Msuya na Lowassa.

Ila Sirudii kutaja Majina hapa! Mbwa kwa Nyerere alimaanisha Wenye hulka za Udictator na Kiburi. Mmoja alipoambiwa aondoe jina akawa Mjanja akanyamaza, hakubishana na Nyerere, Mwingine akabishana sana, akidai, "Nyerere ni Kiumbe na Mimi ni Kiumbe" Na baada ya Uchaguzi akaendelea Kusema, "CCM haina Dira wala Mwelekeo" Ingawa alikuwa ni Mtu Jasiri asiye na hofu, Akaitwa kuhojiwa ati mahojiano yale yakamtisha na kumpa mshituko wa moyo! Hatuko naye Tena!

Je hofu ya Nyerere imekuja Kutimia yeye akiwa hayupo tena nasi?
Na baada ya kuitoa kauli hiyo ya "CCM haina Dira wala Mwelekeo.." aliitwa akahojiwa na maisha yake yakafikia ukomo akihojiwa, mpaka leo kuna sintofahamu ya kifo chake. RIP HK
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom