Julius Nyerere, Benjamin Mkapa, wakiwa London mwaka 1975

Hii ilikuwa ni siku ya mwisho ya ziara yake ya kitaifa aliyoifanya huko Uingereza mwaka 1975. Hii ilikuwa ni siku ya Ijumaa, tarehe 21, Novemba 1975.

Hivi Rais Mkapa mwaka ‘75 alikuwa na wadhifa gani serikalini?

Hao wengine sijawatambua ni akina nani.


Hii ziara niliwahi kuianzishia uzi humu miaka karibu 5 iliyopita ila hii video sikuwa nayo.

Mapokezi ya Nyerere huko Uingereza

Mkapa aliandaliwa kuja kuwa kiongozi ndiyo maana hakutaka na misifa ya kijinga
 
W
Atajifunza kwamba hotuba zake wapinzani wa maendeleo walizipinga, ila yeye alikuwa wa vitendo tu! Mfano - Jenga ukuta kuzunguka machimbo ya Tanzanite, jenga bwawa la kufua umeme...... Vitendo tu.
Watajifunza kwamba yale watu waliyokuwa wanayashangaa majuu, yote yako bongo. Watajifunza kwamba kujua lugha za wenzio siyo kuendelea/hakuleti maendeleo.
Watajifunza kwamba hata kama unajua lugha yako ya kijijini mwako tu, ukiwa na nia ya kuleta maendeleo kwa unaowaongoza unaweza. Warusi, wajapan, wachina, waturuki n.k,wameweza bila kutumia lugha za wenzio. Watajifunza mengi sana na watabadirika. Hawatakuwa na kasumba ya kikoloni/kibeberu kichwani mwao kama vizazi vya sasa.
Hakika utafiti wa TWAWEZA ulikua sawa kwa 100%.
 
Ninamkumbuka mzee kingunge alisema ""huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo"" sasa yametimia.
Kingunge mwenyewe familia yake inapesa zisizo na maelezo kwanini asianze kwa watoto wake!
 
Pumbav kweli unakula hela za uma unajaza kitambi unataka zikutokee wapi. Mmempata msela mwenzenu ndo mtamtambua ni nani
Tulipokuwa tumefika, hakika tulihitaji zaidi ya Magufuli. Hata watu wapuuzi walishakuwa maarufu kwa upuuzi wao. Kiwango hicho ukijidai kupanga na kujadili vizuri unaishia kulipwa upuuzi.
 
Ni kama sasa hao kutoka Ghana, Nigeria, Ivory Coast na kwingineko ukiwatajia unakotoka huwa wanamzungumzia Magufuli na kusema Afrika ya sasa inahitaji kiongozi wa sampuli yake.
Twaib!

Hii nayo ni kweli kabisa maana hata mimi binafsi ishanitokea mara kadhaa nikutanapo na raia wa sehemu zingine za Afrika.

Ukiwaambia unatokea Tanzania...wanasema ‘Magufuli’.

Nadhani kama Rais Magufuli angekuwa ni mtu wa kupenda kusafiri nchi za nje na kufanya mikutano na waandishi wa habari, basi jina lake lingevuma zaidi ya hivi sasa.
 
Kweli maisha bana, mkapa @ age 37 ashaanza kula mabataz!!

Wengine tunazeeka Uingeleza kukanyaga bado ni ndoto!!
 
Heshima YOTE tuliyokuwa nayo kimataifa imekwenda na maji, limebakia genge la kutishia usalama wa raia na kushambulia wakosoaji wa Serikali kwa kutumia mitutu ya bunduki na SILAHA ZA KIVITA tena mchana kweupe.
 
Back
Top Bottom