Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,364
- 6,511
- Thread starter
- #21
Kama cuf ni cha waislam na chadema ni cha wakristo. Ni ccm tu kinaweza kujinasibu angalau hakina udini.wako wengi tu wako CDM Kwa sababu ni wakristo na ndo maana anashangilia watu kufeli akijiamisha waliofeli ni waislam(udini).na wapo walioenda cuf kwa sababu ni waislam
punguza jazba mkuu