Julius Mtatiro amenifanya niandike...

Julius Mtatiro amenifanya niandike...

Mtatiro anatafuta cheo tu full stop.
Inasemekana toka amalize degree yake Mlimani pale alipoingia mtaani hajapata kazi ya uhakika ya kujipatia kipato.
Kaona CUF anashinda na njaa tu alafu Ruzuku yote keshakomba Lipumba.
Hahahhaaa. Njaa mbaya kweli aisee.
Lipumba nuksi sana alitaka kumuua na njaa Mtatiro,,hahaha
 
Wewe ni Mpinzani uchwara. Kama kweli we mtz. Unaweza kusema kwa dhati tatizo La Tz ni Mambo ya kuwepo Upinzani Au Hapana. Is that the first and biggest problem or challenge that we face as Tanzanians. Mi mtz Ingawa naishi nje. Mwaka 2014-2015 kila ofisi ni siasa tu Hakuna kazi. Baada ya uchaguzi tena mnataka siasa. Lini Watu watafanya kazi. Uvivu ndo inawafanya mkae na kuwaza Haya Mambo. Kwani Mbunge kama Lissu akihimiza Vijana waache bangi walime nyanya atakuwa sio Mpinzani. Upinzani wenu ni Wa kijinga kipumbavu na hauna tija. Mnasahau kuwa swala Akifeli kiongozi tunafeli na sisi. Umeona wapi wapinzani wananuna kama miundo mbinu Au Ndege Au Reli nk vikiboreshwa. Tena mtakazana kuanzisha Mauzi ili tu Mambo haya yasionekane muhimu. That’s why I see you people as stupid and I am still wondering if you are really Tanzanians. Be proud of your country Kama vile katika familia Ndani ya nyumba mama na baba wanavyoficha vituko vya Familia. Hakuna Mzungu pamoja na majanga yao Mengi tu atakayekusimulia wewe mabaya ya Nchi yake mpka iwe ubest kweli lakini usijisahau ni wazalendo Kwanza. We kaa kimya. Sivyo utareportiwa then maisha yako yatakuwa magumuuuuuu.
Talking nonsense! Crap
 
Maana ya Democracy ni ikiwemo mtu mmoja kuchagua chama cha siasa akitakacho. Au kwako Democrasia ni Mzee Lowasa na Mzee Sumaye pamoja na Nyalandu kubama CCM kwenda CDM tu? Kuweni na kumbukumbu. Nyarandu alihama mlishangilia sana nyie hao hao. Hamkuona cha gharama wala nini. Democrasia iko hivyo so vumilieni tu
Usihifanishe CCM na vyama vyama upinzani hii ni tasisi kubwa na na mkubwa akipoteza akaokota mdogo ni furaha mdogo akipoteza akaokota mkubwa ni hasara.Tajiri akidondosha wallet na masiliano akidondosha utapenda uokote ipi
 
Wewe umenena, watu wanafikiri Upinzani ndo utawaletea maendeleo yao. Tumeona nchi zina upinzani wa hali ya juu, na demokrasia iliyokomaa, lakini watu ni masikini kupindukia. Ukitaka kujua hilo, nenda huko wanakokuita bondeni, kwa tata Mandela, Soweto. Fanyeni kazi, upinzani hauna tija kwa maendeleo binafsi
Waende hata hapo Malawi tu.
 
Motoni wa kwanza kwenda shetani, wapili wana siasa ,leo nimeamini.
 
Back
Top Bottom