Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
- Thread starter
- #21
Labda Albino mkuu, hao unaowaita white Africans wakikaa na Black Africans utaona wanavyo behaveHivi hakuna "White Africans"?
Labda Albino mkuu, hao unaowaita white Africans wakikaa na Black Africans utaona wanavyo behaveHivi hakuna "White Africans"?
ila unamlinganisha na magufuli?
So lazima utaje Magufuli.Please revisit my comments - wapi nimetaja jina la Magufuli!! WAPI?
Stupid malema sum times speak sense,but the question is the black people are ready to take over the land or they need more time?
So lazima utaje Magufuli.
Implied anayofanya Magufuli ndo Malema anataka. Unless huungi mkono ya magu!
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Lugha laini kamwe haiwezi kukurudishia haki yako iliyopokwa.Mbona kama anazungumzia mambo ambayo yanawasaidia waafrica....nadhani katika hili ANC imuunge mkono ila wamshauri tu asitumie lugha za vitisho.
South Africa siyo kwao. Wana kwao.Mi namuona kama fala.
Mana hao wazungu kwao ni south africa na sio sehemu ingine.
Wao ni rangi nyeupe tuu lakin ni wasouth africa.sasa unamfukuzaje huyo mtu aende wapi?