Shekhe watutafutiani siye.....Sasa kama ni Engineer anatafuta nini Simba, si atafute tenda akajenge madaraja yetu yaliyobomoka ambayo hayapitiki?Ukishaona club yoyote ya hapa Tanzania inaongozwa na mtu alieajiriwa kwingine jua ile anaitumia tu kumkeep busy wala hayupo serious.Itakuwa yaleyale ya Rage na uenyekiti wa Simba huku akiwa mbunge, wewe huoni hata akina Magori waliona ngoma ngumu wakaachia ngazi ili waendelee kukamua NSSF? You can not save two masters at the same time inakuwa kama wale jamaa wanaotudanganya eti unaweza kuwowa wanawake wanne then ukawapa haki sawa hahahaha never on earth
Alifanya mtihani kituo gani cha mtihani na mwaka gani mkuu?Tunaomba matokeo ya Dalali aliyosoma QT.
Simba inaongoza kwa kuwa na viongozi na wanachama vilaza.
Mkuu sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika.tujadili kidogo hata hii sifa ya Form Four halafu uingie mkataba na Multi Choice, Etoile Du Sahel, unadike barua kadhaa FIFA, ushiriki warsha semina makongamano kitaifa na kimataifa?????
Alifanya mtihani kituo gani cha mtihani na mwaka gani mkuu?
Nilimuona muda wa saa saba mchanasijajua itakiua saa ngapi, kuna mida nilimuona akitoka Polisi Msimbazi, biila shaka kuchukua lost form
Mkuu unamaanisha Baptist?Kituo kipo magomeni,ni mwaka ule madogo waliozungusha sana makarai,sijui yeye alipata ngapi!
Iwe Mushumbuzi umepwatia, muhudumuu hebu mupatie Heinken ya baridii....wewe lazima utakuwa muganyizi
Shekhe watutafutiani siye.....
Ndugu yangu wewe kazi za kudraft barua ni kazi za secretary kwa hiyo siamini klabu kubwa kama Simba hainaga secretary.Nyie mwacheni akagombee kura iwe ndiyo mwamuzi wa mwishotujadili kidogo hata hii sifa ya Form Four halafu uingie mkataba na Multi Choice, Etoile Du Sahel, unadike barua kadhaa FIFA, ushiriki warsha semina makongamano kitaifa na kimataifa?????
Kama sio 1981 basi 1982
Hee kumbe mkongwee!!! Hatujazaliwa kamaliza four??
Mkuu sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika.
Kwa kuwa huwezi kuwa Waziri bila kuwa Mbunge, je ni Mawaziri au Wabunge wangapi mjengoni wana sifa hiyo? Kuna sifa nyingine zinatajwa kutumika ili mradi kufunika kombe mwanaharamu apite lakini hebu jaribu kuhudhuria kampeni ch auchaguzi uone jinsi wagombea wenye elimu ndogo wanavyosasambuliwa mbaya....
Kwa ufupi ni kwamba ingawa Elimu ya Juu (Shahada) na kuendelea haitajwi sana lakini ndiyo sifa kuu ya kuwa Kiongozi hivi sasa.
Ndugu yangu wewe kazi za kudraft barua ni kazi za secretary kwa hiyo siamini klabu kubwa kama Simba hainaga secretary.Nyie mwacheni akagombee kura iwe ndiyo mwamuzi wa mwisho
Sababu ya kuitwa JAMHURI ni kuzaliwa 1962 Tanganyika ilipopata kuwa Jamhuri
Nilimuona muda wa saa saba mchana
Duh Umeua bend mkuuNijuavyo mimi sekondari alisoma (kama sio kuhudhuria) Kinondoni (MUSLIM) na alipata 0 ........ hakuna cheti hapo
Duh Umeua bend mkuu