Taswira
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 1,198
- 447
MAKADA WAWILI(JULIANA SHONZA NA MTELA MWAMPAMBA) SIKU YA LEO TAR.16/02/2013 WANATEGEMA KUFANYA MKUTANO MKUBWA WA CHAMA CHAO CCM JIJINI DSM VIWANJA VYA TEMEKE
Mkutano umeanza ni mra baada ya vijana wa TMK(WANAMZIKI) KUMALIZA KUFANYA SHOW VIWANJA VYA TEMEKE MWISHO
1.Juliana Shonza anakabidhi magwanda ya CHADEMA kwa wana CCM(Kama kutakuwepo tukio la kuchoma magwanda hayo nitawajulisha na picha)
2.Juliana shonza nafunguka kuhusu UFISADI WA DR.SLAA ni ule wa Millioni 140 na mwingine wa ugawaji wa ruzuku.
3.Juliana anazungumzia hujuma na utoto uliofanywa na wabunge wa chadema kugawa namba za simu za spika kwa wananchi bila kuwapa taratibu na kanuni za matumizi ya simu za mikononi hasa kwa kiongozi mkubwa kama makinda.
4.MWAMPAMBA NAYE ANAKABIDHI MAGWANDA YA CHADEMA MWELE YA VIONGOZI NA WANACHAMA WA CCM
5.Mwampamba anamlipua Dr.slaa kuhusu Ufisadi wa mradi wa maji KAVIWASU huko karatu.
6.Mwampamba anawahutubia wananchi namna Josephine mshumbusi anavyotumika kuhadaa wanawake nchini kwa njia ya za vikao vya siri.
7.Mwampamba anamlipua Mbowe na Danguro lake(ndivyoalivyoliita) la Billicanus namna linavyolea uchafu ndani ya nchi.
8.Mwampamba anamlipua Mnyika kwamba amedanganya elimu yake yeye ameishia sekondari na sio Graduate kama anavyo na alivyodanganya Umma.(kama mNyika ni graduate ajitokeze mbele ya umma amemaliza wapi chuo).
9.MTELA MWAMPAMBA AMETOA USHAHIDI WA RIPOTI YA KAMATI KUU YA CHADEMA UNAOONESHA NAMNA UCHAGA ULIVYOSHAMIRI NDNAI YA CHAMA HICHO.
10.MWAMPAMBA AMETOA DVD YENYE KUONESHA NAMNA MBOWE ANAVYOMSIFIA RAIS KIKWETE,NAMNA ANAVYOMANI KUA HAKUNA ZAIDI YA KIWETE AMEKABIDHI KWA VIONGOZI WA CCM
11.JULIANA SHONZA AMEMJIBU MNYIKA KWA KUMWAMBIA KIKWETE SIO DHAIFU,DHAIFU NI DR.SLAA MWENYE ULEMAVU WA MKONO NA KISUKARI,MDHAIFU NI DR.SLAA ALIYEKIMBILIA KWA HAWARA NA KUACHA NDOA YAKE IKITANGATANGA.
12.MWAMPAMBA AMEKUSUDIA KUPELEKA OMBI LA CHADEMA KIFUTWE KWA SABABU ANA DOCUMENT ZINAZOONESHA NI CHAMA CHA KIDINI NA KIKABILA.
13.MAGWANDA YA CHADEMA YACHANWA CHANWA HADHARANI NI YALE YA MWAMPAMBA NA JULIANA SHONZA.
14.CCM WANAPATA MWANACHAMA MPYA,NI ALIYEKUWA SEKRETARI WA DR.SLAA KATIBU MKUU WA CHADEMA(SAUMU KISENA) HUYU HAPA CHINI,AMETOA USHUHUDA NAMNA ALIVYOKOSANA NA DR,SLAA KUTOKANA NA KUMNYIKA PENZI HASA NYYAKATI ZA KAZI PALE OFISINI KWAKE MAKAO MAKUU YA CHADEMA
15.Mh:MAGHEMBE anamlipua mnyika kwa kusem anamtumia mjumbe mmoja wa kamati hudanganya bunge,Amemwambia swala la maji lipo kwenye ilani ya chama 2014 ambapo maji yatakuwa yameshafika Dsm.
16.Mkutano unamalizika
MKUTANO HUO NI MWANZO WA ZIARA KUBWA WANAYOTEGEMA KUZUNGUKA NCHI NZIMA KUULEZA UMMA WAWATANZANIA MAMBO MBALIMBALI MAOVU YANAYOTENDEKA NDANI YA CHADEMA,WANATEGEMA KUFANYA MIKUTANO YA KUELEIMISHA VIJANA WAKITANZANI KWAMBA WASIGEUZWE "KITOWEO CHA WAJINGA NDIO WALIWAO"
updates zitawajia hapahapa stay tuned
MKUTANO WA LEO JIJINI DSM UTAHUDURIWA NA VIONGOZI WA NGAZI ZA JUU YA CHAMA NA WANACHAMA WA CCM KAMA WALIVYOTAARIFIWA.
JULIANA SHONZA NA MTELA MWAMPAMBA WANATEGEMEA KUTUMIA NAFASI HIYO KUTOA USHUHUDA SI WAMANENO TU KUHUSU MAMBO YANAYOKIZUNGUKA CHAMA CHA CHADEMA.PIA WATATUMIA NAFASI HIYO KUELIMISHA NA KUOMBA VIJANA WAACHANE NA SIASA UCHWARA WAJIUNGE NA CCM,WAJIFUNZE SIASA NA UTAWALA BORA.NILIPOTAPA NAFASI YA KUMPIGIA SIMU MWAMPAMBA ALIONGEA SENTESI FUPI TU
"NI BORA VITA MOJA YA KUPIGANA NA MAFISADI KULIKO VITA YA UBAGUZI WA KIKANDA,UDINI NA UFISADI PAPA NDANI YA VYAMA VYA SIASA"
UPDATES TO FOLLOW
UPDATES:updates zitawajia hapahapa stay tuned
MKUTANO WA LEO JIJINI DSM UTAHUDURIWA NA VIONGOZI WA NGAZI ZA JUU YA CHAMA NA WANACHAMA WA CCM KAMA WALIVYOTAARIFIWA.
JULIANA SHONZA NA MTELA MWAMPAMBA WANATEGEMEA KUTUMIA NAFASI HIYO KUTOA USHUHUDA SI WAMANENO TU KUHUSU MAMBO YANAYOKIZUNGUKA CHAMA CHA CHADEMA.PIA WATATUMIA NAFASI HIYO KUELIMISHA NA KUOMBA VIJANA WAACHANE NA SIASA UCHWARA WAJIUNGE NA CCM,WAJIFUNZE SIASA NA UTAWALA BORA.NILIPOTAPA NAFASI YA KUMPIGIA SIMU MWAMPAMBA ALIONGEA SENTESI FUPI TU
"NI BORA VITA MOJA YA KUPIGANA NA MAFISADI KULIKO VITA YA UBAGUZI WA KIKANDA,UDINI NA UFISADI PAPA NDANI YA VYAMA VYA SIASA"
UPDATES TO FOLLOW
Mkutano umeanza ni mra baada ya vijana wa TMK(WANAMZIKI) KUMALIZA KUFANYA SHOW VIWANJA VYA TEMEKE MWISHO
1.Juliana Shonza anakabidhi magwanda ya CHADEMA kwa wana CCM(Kama kutakuwepo tukio la kuchoma magwanda hayo nitawajulisha na picha)
2.Juliana shonza nafunguka kuhusu UFISADI WA DR.SLAA ni ule wa Millioni 140 na mwingine wa ugawaji wa ruzuku.
3.Juliana anazungumzia hujuma na utoto uliofanywa na wabunge wa chadema kugawa namba za simu za spika kwa wananchi bila kuwapa taratibu na kanuni za matumizi ya simu za mikononi hasa kwa kiongozi mkubwa kama makinda.
4.MWAMPAMBA NAYE ANAKABIDHI MAGWANDA YA CHADEMA MWELE YA VIONGOZI NA WANACHAMA WA CCM
5.Mwampamba anamlipua Dr.slaa kuhusu Ufisadi wa mradi wa maji KAVIWASU huko karatu.
6.Mwampamba anawahutubia wananchi namna Josephine mshumbusi anavyotumika kuhadaa wanawake nchini kwa njia ya za vikao vya siri.
7.Mwampamba anamlipua Mbowe na Danguro lake(ndivyoalivyoliita) la Billicanus namna linavyolea uchafu ndani ya nchi.
8.Mwampamba anamlipua Mnyika kwamba amedanganya elimu yake yeye ameishia sekondari na sio Graduate kama anavyo na alivyodanganya Umma.(kama mNyika ni graduate ajitokeze mbele ya umma amemaliza wapi chuo).
9.MTELA MWAMPAMBA AMETOA USHAHIDI WA RIPOTI YA KAMATI KUU YA CHADEMA UNAOONESHA NAMNA UCHAGA ULIVYOSHAMIRI NDNAI YA CHAMA HICHO.
10.MWAMPAMBA AMETOA DVD YENYE KUONESHA NAMNA MBOWE ANAVYOMSIFIA RAIS KIKWETE,NAMNA ANAVYOMANI KUA HAKUNA ZAIDI YA KIWETE AMEKABIDHI KWA VIONGOZI WA CCM
11.JULIANA SHONZA AMEMJIBU MNYIKA KWA KUMWAMBIA KIKWETE SIO DHAIFU,DHAIFU NI DR.SLAA MWENYE ULEMAVU WA MKONO NA KISUKARI,MDHAIFU NI DR.SLAA ALIYEKIMBILIA KWA HAWARA NA KUACHA NDOA YAKE IKITANGATANGA.
12.MWAMPAMBA AMEKUSUDIA KUPELEKA OMBI LA CHADEMA KIFUTWE KWA SABABU ANA DOCUMENT ZINAZOONESHA NI CHAMA CHA KIDINI NA KIKABILA.
13.MAGWANDA YA CHADEMA YACHANWA CHANWA HADHARANI NI YALE YA MWAMPAMBA NA JULIANA SHONZA.
14.CCM WANAPATA MWANACHAMA MPYA,NI ALIYEKUWA SEKRETARI WA DR.SLAA KATIBU MKUU WA CHADEMA(SAUMU KISENA) HUYU HAPA CHINI,AMETOA USHUHUDA NAMNA ALIVYOKOSANA NA DR,SLAA KUTOKANA NA KUMNYIKA PENZI HASA NYYAKATI ZA KAZI PALE OFISINI KWAKE MAKAO MAKUU YA CHADEMA
15.Mh:MAGHEMBE anamlipua mnyika kwa kusem anamtumia mjumbe mmoja wa kamati hudanganya bunge,Amemwambia swala la maji lipo kwenye ilani ya chama 2014 ambapo maji yatakuwa yameshafika Dsm.
16.Mkutano unamalizika