moe junior
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 894
- 855
Kuna "voluntary action na unvoluntary action" ivi mkuu unajua ukali wa naisha wanaokumbana nao watumishi hasa walimu? Mkuu tunajua watoto wana dream zao kama sisi ila mwalimu nae anadream za kuishi kwenye nyumba yake, kudrive n.k so kumdiscourage kiasi hiki sio ubinadamu.... tujiandae kupokea mabateshi wa kuzidi kuanzia mwakaniSikubaliani na hili mkuu. Udhaifu wa watu wengine hawawezi kubebeshwa watoto wasio na hatia na pengine ndio wakombozi wa kesho.
Fikiria walimu wako wangefanya hivi leo hii ungekuwa wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app