f de solver
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,339
- 1,834
Mkuu n sawa unalosema...ila hii hali inakuja automatically kutokana na stress nyingi inafikia stage unaona basi nafanya as I canSikubaliani na hili mkuu. Udhaifu wa watu wengine hawawezi kubebeshwa watoto wasio na hatia na pengine ndio wakombozi wa kesho.
Fikiria walimu wako wangefanya hivi leo hii ungekuwa wapi?