ibby
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 415
- 584
hamna sipo Tanzaniawe upo tz au uko wapi
hamna sipo Tanzaniawe upo tz au uko wapi
We nawe sijui vp!kwani umeambiwa JF inapatikana ndani ya mipaka ya Tanzania tu?jikusanyeni na mjadili ni kwa jinc gn mtapata nauli ya kurudi kwenu mana replies zikifika 100+ naenda kuliamsha dude uhamiaji.
zilipendwa hizo sio sasa boss!!saaa ivi Nkurunziza kawanyoosha woote full heshima!Burundi kuna ubaguzi sana, tena ule wa chini chini. Hasa kati ya Hutu na Tusi.
Sintosahau siku nimeingia Burundi kwa mara ya pili 2011, kusaka maisha baada ya kamaliza A'level.
Rafiki tuliyeenda naye akanambia twende kwa ndugu zetu huku wapo ndugu zetu, so usiende lodge. Pia usalama si mzuri sana.
Nikasepa naye hadi kwa hao ndugu.
Tulifika jioni ya giza giza, dah! Wale ndugu zake walivyoniona tu wakaanza kumuuliza, mbona umekuja na huyu mtusi? Tangu lini?
Jamaaa ikabidi aanze kuwaeleza vizuri kwa utaratibu. Ndipo wakaelewa somo.
Aunt yake akasema pole sana kijana , tumeona wewe ni mrefu mrefu kiasi. Tukajua ni mtusi. Kuanzia muda huo nikawa naenda na jamaa bila tatizo. Nikaoneshwa kwa ndugu zake wengine.
Yaani umbo langu lilitaka kuniponza wakijua ni mtusi.
Kuna siku nilienda tukakuta Miji iko kimya, wakasema Wasomali wameingia nchini; siku hiyo hiyo nilikuja kulala mpakani.
Asubuhi yake nilirudi Tz.
Ubaguzi upo sana Burundi na jirani yake Rwanda ni balaa tupu
Kwan dar hawana branch za cannal +!??kama hawana tafta mtu muaminifu umuagizie pesa akununulie burundi then akuagizie nayo kwa njia ya bus izi za taqwa ukimpa asie muaminifu bac imekula kwako mana matapeli wapo kibao sehem zote!Warundi napataje king'amuzi cha Canal+
mwenzio mtiziiii org sijakuelewa
ok,vp Kuna fursa zp uko?Nipo kinshasa DRC
mmmmmhhhamna sipo Tanzania
Wasalimie Nyakabiga.Kama sielewi maana ico ni kiha sio kirundi
mbona waguna boss mi nipo zangu mzansi fo sho boss!!!mmmmmhh
Lubunga Byaombe ni mkongoman. Alimuwa reporter wa BBC, ila alikuja kuwa msemaji wa serikali ya Kabila. Now reporter ni Mbeleshi Msoshi!Mkuu msalimiye Kazungu Rose au yule Rubumbya Byaombe reporter wa DW
Burundi kuna ubaguzi sana, tena ule wa chini chini. Hasa kati ya Hutu na Tusi.
Sintosahau siku nimeingia Burundi kwa mara ya pili 2011, kusaka maisha baada ya kamaliza A'level.
Rafiki tuliyeenda naye akanambia twende kwa ndugu zetu huku wapo ndugu zetu, so usiende lodge. Pia usalama si mzuri sana.
Nikasepa naye hadi kwa hao ndugu.
Tulifika jioni ya giza giza, dah! Wale ndugu zake walivyoniona tu wakaanza kumuuliza, mbona umekuja na huyu mtusi? Tangu lini?
Jamaaa ikabidi aanze kuwaeleza vizuri kwa utaratibu. Ndipo wakaelewa somo.
Aunt yake akasema pole sana kijana , tumeona wewe ni mrefu mrefu kiasi. Tukajua ni mtusi. Kuanzia muda huo nikawa naenda na jamaa bila tatizo. Nikaoneshwa kwa ndugu zake wengine.
Yaani umbo langu lilitaka kuniponza wakijua ni mtusi.
Kuna siku nilienda tukakuta Miji iko kimya, wakasema Wasomali wameingia nchini; siku hiyo hiyo nilikuja kulala mpakani.
Asubuhi yake nilirudi Tz.
Ubaguzi upo sana Burundi na jirani yake Rwanda ni balaa tupu
[
POLE SANA MKUU
Mimi mtoto wa Bwiza
wewe mwanzo ulixema umeolewa na mtanzania tu,ukimaanisha wewe siyo mtz,Sasa apartment unasema wewe msukuma,mmmmmmhhh ok kwahiyo mume wako anasemaga kabila ganiMimi msukuma bwana. Sema kule napenda kula ugali wa rowe na mgebuka wa kuchoma.
Kiha kirundi.wewe mwanzo ulixema umeolewa na mtanzania tu,ukimaanisha wewe siyo mtz,Sasa apartment unasema wewe msukuma,mmmmmmhhh ok kwahiyo mume wako anasemaga kabila gani
Nimekuelewa mkuu kwani jf si ya watanzania tu ila ya wote ikiwemo na nyie wa burundiKiha kirundi.