Huyu Mimi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2019
- 2,573
- 2,091
Najua Makosa ya Kiufund MkubwaMzee baba katika alphabet ya lugha yetu hakuna herufi "L" bali tuna "R"
Najua Makosa ya Kiufund MkubwaMzee baba katika alphabet ya lugha yetu hakuna herufi "L" bali tuna "R"
Halafu hii mitaa ya kutaja barabara ipo sana katumba katavi. Sijui ni warundi nao?Duuh bwiza barabara ya ngapi?
Mbona Hata Dom na Tanga zipo saaanaHalafu hii mitaa ya kutaja barabara ipo sana katumba katavi. Sijui ni warundi nao?
Ngoja tuwaite uhamiaji kwanza
Halafu hii mitaa ya kutaja barabara ipo sana katumba katavi. Sijui ni warundi nao?
Hapana mkuu warundi nyie bado wachache sana ukilinganisha na wanyaruwanda wenye wameja kila kona ya jfKwanini mkuu, kwani hatuna haki?
Uko wapi nowMimi ni mrundi, na sipo Tz mkuu
Nimeolewa na mtanzania kwao katumba barabara ya......Kwani we ni mrundi au?bila shaka we rundi upon kama mkimbiz Tanzania..na logoff
katumba katavi,budyankuru tabora,mishamo katavi hizo zilikuwa kambi za wakimbizi miaka ya sabini so rais jk akawaonea huruma na kuwapa uraia.Nimeolewa na mtanzania kwao katumba barabara ya......
nilizani mtu wa Burundi nipo peke yangu kumbe turi benshi uku!!Burundi oyeeHabari zenu wanajamvi, najua Jf imekusanya watu chungu nzima. Sidhani kama ni vibaya warundi wote tukifahamiana
Haya nawasubiri
acha mkwara !!!jikusanyeni na mjadili ni kwa jinc gn mtapata nauli ya kurudi kwenu mana replies zikifika 100+ naenda kuliamsha dude uhamiaji.
we upo tz au uko wapinilizani mtu wa Burundi nipo peke yangu kumbe turi benshi uku!!Burundi oyee
acha mkwara !!!
Hapa ndo nne inaitwa inne hahaa
Mimi msukuma bwana. Sema kule napenda kula ugali wa rowe na mgebuka wa kuchoma.katumba katavi,budyankuru tabora,mishamo katavi hizo zilikuwa kambi za wakimbizi miaka ya sabini so rais jk akawaonea huruma na kuwapa uraia.
Kwahiyo wale ni wahutu wenzako bi dada,ila avatar yako nimeipenda🤒🤒🤒