Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limesikitishwa na taarifa ya kufungiwa kwa miezi 24 kwa Gazeti la Mwanahalisi.
Kufungiwa kwa Mwanahalisi kunathibitisha kwamba Serikali bado imekuwa na 'shauku' ya kufungia vyombo vya habari licha ya kupitishwa kwa Sheria ya Huduma za Habari ya 2016 ambayo inatoa mwanya wa masuala yanayohusu vyombo vya habari kupelekwa Mahakamani na kutolewa uamuzi baada ya pande zote husika kusikilizwa.
Kwa maana hiyo, tunapinga kwa Gazeti la Mwanahalisi kama ambavyo tumewahi kupinga matukio mengine ya kufungiwa kwa magazeti siku zilizopita. Uongozi wa Jukwaa la Wahariri utakutana na kutafakari hatua zaidi ya kuchukua kuhusu suala hili.
Imetolewa na;
Theophil Makunga
Mwenyekiti - Tanzania Editors Forum
Kufungiwa kwa Mwanahalisi kunathibitisha kwamba Serikali bado imekuwa na 'shauku' ya kufungia vyombo vya habari licha ya kupitishwa kwa Sheria ya Huduma za Habari ya 2016 ambayo inatoa mwanya wa masuala yanayohusu vyombo vya habari kupelekwa Mahakamani na kutolewa uamuzi baada ya pande zote husika kusikilizwa.
Kwa maana hiyo, tunapinga kwa Gazeti la Mwanahalisi kama ambavyo tumewahi kupinga matukio mengine ya kufungiwa kwa magazeti siku zilizopita. Uongozi wa Jukwaa la Wahariri utakutana na kutafakari hatua zaidi ya kuchukua kuhusu suala hili.
Imetolewa na;
Theophil Makunga
Mwenyekiti - Tanzania Editors Forum