Jukwaa la wahariri,mct kwa nn mpo kimnya?

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Ningelikuwa wahariri,na mct nningempinga mh rais kwa hoja kwa nn mnamwogopa mTAwala anapoitisha tahaluma ya habari mjibuni kwa hoja kwa kumwlekeza nini ambacho kinatakiwa kuandikwa. Sio lazma hasifiww kila siku.
 
MCT kwa hili mpo very wrong.
Toka juzi aseme atayafungia magazeti mawili, hamjasema chochote kile.
It's as if mmekubaliana nae.
Why..??
 
Back
Top Bottom