Jukwaa la mmu lipo hatarini

Jukwaa la mmu lipo hatarini

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Jukwaa la MMU inaweza kukosa mvuto kwa ajili ya jukwaa la Chit Chat,hii ni kutokana na members wa MMU kuhamia huku halafu
isitoshe huku mada zote zinajadiliwa.
 
Sijui huku siku hizi kuna nini manake sikuzoea kabisa kuingia huku .
 
Kama ukweli vile ingawa kuna members wa mmu sijawahi kuwaona chit chat.
 
Excellent aamua kuja na tetesi kuwa jukwaa la MMU liko hatarini kutoweka....dah nilifikiri niko kwenye thread ya JF Udaku haya mazoea noma sana aisee
 
Usiku niliota ile sredi kabisa, tena nilikuwa namwaga mapoint ndani ya mapointless

Excellent aamua kuja na tetesi kuwa jukwaa la MMU liko hatarini kutoweka....dah nilifikiri niko kwenye thread ya JF Udaku haya mazoea noma sana aisee
 
Kinachoniudhi majukwaa mengine lazima utumie akili na busara, lakini huku tunatumia viantena vya mende
Tunapapasa tu kinachokuja unaandika hichohicho

chit chat imebeba kila kitu
 
Excellent aamua kuja na tetesi kuwa jukwaa la MMU liko hatarini kutoweka....dah nilifikiri niko kwenye thread ya JF Udaku haya mazoea noma sana aisee
Haupo kwenye ndoto The Finest,baada ya miezi miwili jukwaa la MMU haitanoga tena
 
Kinachoniudhi majukwaa mengine lazima utumie akili na busara, lakini huku tunatumia viantena vya mende
Tunapapasa tu kinachokuja unaandika hichohicho
ndo mana ina mvuto mana huumizi kichwa
 
Kinachoniudhi majukwaa mengine lazima utumie akili na busara, lakini huku tunatumia viantena vya mende
Tunapapasa tu kinachokuja unaandika hichohicho
Nakupongeza wewe kwa kujua kipimo cha akili zako na kufahamu jukwaa jepesi kama hili ndio linakufaa, maana uwezi kuja kutusumbuwa kwenye mijadala makini.
 
weka gundi haraka kuzuia macho yasifumbe kama huna gundi weka tuthipick kuzuia mfuniko wa jicho kujifunga, weka kwa stail tunatowekea migomba sapoti isianguke

Nasikia usingizi!!!
 
Matola najua unandharau kuwa mie ndie bazazi wa mwisho kwa akili. Utashangaa ntakapokujaza ujauzito utajua akili zangu ziko wapi

Nakupongeza wewe kwa kujua kipimo cha akili zako na kufahamu jukwaa jepesi kama hili ndio linakufaa, maana uwezi kuja kutumbuwa kwenye mijadala makini.
 
Back
Top Bottom