Dah.... Trump yuko sahihi kabisa.... Nadhani sababu kubwa ni matumizi mabaya ya mudaUtasikia inaongeza nguvu za kiume tu.
Ndo nimesikia hivyo piaHiyo juice nzuri sana hasa sisi ambao tumeoa..
fresh ama mtundi?Mahitaji
=Maziwa
=Tende
=Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho
Namna ya kutengeza.
=Toa tende makokwa
=Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
=Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
=Weka kwa friji ipate baridi kidogo
Then enjoy juice ya tende......
Ni kweli hususan kwa men .....ila ni kinywaji/mlo mzuri sana nakunywa hii every day its good for your skin too
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hii kitu ni noma sanaMahitaji
=Maziwa
=Tende
=Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho
Namna ya kutengeza.
=Toa tende makokwa
=Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
=Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
=Weka kwa friji ipate baridi kidogo
Then enjoy juice ya tende......
Nimegundua ya kwamba ukiziloweka kwenye maziwa kabla ya kusaga zinazidi unogajiNgoja nikamtengenezee mtu kesho
Dah...Ngoja nikamtengenezee mtu kesho
Ooh realy?Nimegundua ya kwamba ukiziloweka kwenye maziwa kabla ya kusaga zinazidi unogaji
Kulikoni?Dah...
Mpende sana mkeo.Mmh... mpaka wife wako anaamua kukutengenezea we hujiulizi tu?
Dah...Nashangaa huku najiuliza sanaKulikoni?
Acha kuua watu hatuna wake