Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,401
Mwanaume wa Dar akinywa hii juice atabadilika kuwa wa kijijini fasta,believe me!
Farhina u wapi siku hizi
Ooh realy?
Unaloweka kwamuda gani?
Endelea kutupa mambo muhimu mkuu!!!Nipoo nipo mbona
Mahitaji
=Maziwa
=Tende
=Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho
Namna ya kutengeza.
=Toa tende makokwa
=Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
=Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
=Weka kwa friji ipate baridi kidogo
Then enjoy juice ya tende......
Hivi huwa ni maziwa fresh ama mtindi?
Maziwa fresh.
Hii juice ni mujarab sana hasa kwa wanandoa kwanza inaongeza energy, halafu inaongeza hamu ya shahawati(matamanio). Pia unaweza kuongezea tangawizi kidogo ili kuongeza test na pia tangawizi nayo ni dawa ya kuongeza hamu.
ongeza hapo na ndizi mbivu na asali ...... unapata super energizerMahitaji
=Maziwa
=Tende
=Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho
Namna ya kutengeza.
=Toa tende makokwa
=Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
=Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
=Weka kwa friji ipate baridi kidogo
Then enjoy juice ya tende......
Changanya naMahitaji
=Maziwa
=Tende
=Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho
Namna ya kutengeza.
=Toa tende makokwa
=Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
=Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
=Weka kwa friji ipate baridi kidogo
Then enjoy juice ya tende......
Kwahiyo sasa mchanganyiko upi ndo mzuri..nataka kujaribu kutengeneza leo jioni.
Nina tende na maziwa tayari.
Sasa hivyo vikolombwezo vingine ndo nivitie vyote au nichagulie vipi hasa vinafaa kwa kuanzia kati ya hizo tangawizi, asali, ndizi, iliki, nk nk.
Changanya na
Ovacado
Ndizi mbivu
TANBIH
Weka mbali na watoto
Ongezea Na karanga.
Sasa huyu naye kasema parachichi...
Hebu niorodheshee viungo vya kutumia kwa leo.
Sasa huyu naye kasema parachichi...
Hebu niorodheshee viungo vya kutumia kwa leo.