Juice ya tende na maziwa

Hivi huwa ni maziwa fresh ama mtindi?
Mahitaji
=Maziwa
=Tende
=Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho

Namna ya kutengeza.
=Toa tende makokwa
=Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
=Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
=Weka kwa friji ipate baridi kidogo

Then enjoy juice ya tende......
 
Maziwa fresh.

Kwahiyo sasa mchanganyiko upi ndo mzuri..nataka kujaribu kutengeneza leo jioni.


Nina tende na maziwa tayari.

Sasa hivyo vikolombwezo vingine ndo nivitie vyote au nichagulie vipi hasa vinafaa kwa kuanzia kati ya hizo tangawizi, asali, ndizi, iliki, nk nk.
 
Bongolist hqkuna lingine wawazalo
Hii juice ni mujarab sana hasa kwa wanandoa kwanza inaongeza energy, halafu inaongeza hamu ya shahawati(matamanio). Pia unaweza kuongezea tangawizi kidogo ili kuongeza test na pia tangawizi nayo ni dawa ya kuongeza hamu.
 
Mahitaji
=Maziwa
=Tende
=Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho

Namna ya kutengeza.
=Toa tende makokwa
=Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
=Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
=Weka kwa friji ipate baridi kidogo

Then enjoy juice ya tende......
ongeza hapo na ndizi mbivu na asali ...... unapata super energizer
 
Mahitaji
=Maziwa
=Tende
=Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho

Namna ya kutengeza.
=Toa tende makokwa
=Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
=Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
=Weka kwa friji ipate baridi kidogo

Then enjoy juice ya tende......
Changanya na
Ovacado
Ndizi mbivu

TANBIH
Weka mbali na watoto
 
Kwahiyo sasa mchanganyiko upi ndo mzuri..nataka kujaribu kutengeneza leo jioni.


Nina tende na maziwa tayari.

Sasa hivyo vikolombwezo vingine ndo nivitie vyote au nichagulie vipi hasa vinafaa kwa kuanzia kati ya hizo tangawizi, asali, ndizi, iliki, nk nk.

Ongezea Na karanga.
 
wengi mliweka maazimio ya kufuata maelekezo ya kuitengeza hiyo kinywaji kama mlivyoelekezwa,lkn hatuoni mrejesho,vipi matokeo yake,afya zenu za uzazi na ngozi zenu mkizitazama baada ya kunywa hiyo smoothie zikoje sasa
 
Hii si kinywaji tu ni zaid ya dawa nawashaur wazaz km unamtoto ana shida ya uzito ama malnutrition mtengenezee hii kitu wallah utashangaa ndan ya wk tu mtoto atabadlka afya yake, hata kwa wagonjwa pia nawashaur kutumia hii sharubati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom