MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Wenye visilani na chuki zao binafsi moyoni dhidi ya Lowassa wajinyonge tu kwa sababu kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji! Alichokibariki Mungu mwanadamu hawezi kukilaani! Kwa watu kama sisi tunaotaka uwajibikaji serikalini, Lowassa ni chaguo letu.