Mchungaji Gwajima wa kanisa la Ufufuo anaonekana kuwa na juhudi kubwa za kisiasa ktk kipindi hichi kiasi cha kuachana na shughuli za mafundisho ya Mungu. Hayo ameyathibisha wakati akiongea na waandishi wa habari.
Katika maelezo yake amesema ni muda mrefu sana amekuwa akijihusisha na shughuli hizo za siasa kwa siri pasipo waumini wake kutambua, amekuwa akihudhuria ktka vikao mbalimbali vya maamuzi vya CHADEMA kwa siri kubwa. Amenukuliwa leo akisema;
"Usiku ule mheshimiwa Lowassa, sasa akaingia kwenye kamati kuu na mimi nilikuwemo ndani ya kamati kuu kuhakikisha amefika salama na alipokelewa pale nje na Dr Slaa na Prof Baregu na mwenyekiti wa chama chetu na watu wengine. Mzee Lowassa akaongea, wote tukasimama kwa pamoja na kapiga makofi, tulimkubali na tukampokea".
Kitendo hicho kinatia shaka juu ya huo wema wake kwa Lowassa kiasi cha kumfanya kuacha shughuli za kufundisha na kuabudu badala yake kujikita kukesha kwenye vikao vya kisiasa kwa siri.
Aidha amejitapa na kudai kuwa alifanya ushawishi kwa Josephine na maaskofu wengine kumuunga mkono mzee Lowassa!
WATANZANIA TUJIULIZE, NI KIPI KILICHOPO NYUMA YA PAZIA KATI YAO?
Katika maelezo yake amesema ni muda mrefu sana amekuwa akijihusisha na shughuli hizo za siasa kwa siri pasipo waumini wake kutambua, amekuwa akihudhuria ktka vikao mbalimbali vya maamuzi vya CHADEMA kwa siri kubwa. Amenukuliwa leo akisema;
"Usiku ule mheshimiwa Lowassa, sasa akaingia kwenye kamati kuu na mimi nilikuwemo ndani ya kamati kuu kuhakikisha amefika salama na alipokelewa pale nje na Dr Slaa na Prof Baregu na mwenyekiti wa chama chetu na watu wengine. Mzee Lowassa akaongea, wote tukasimama kwa pamoja na kapiga makofi, tulimkubali na tukampokea".
Kitendo hicho kinatia shaka juu ya huo wema wake kwa Lowassa kiasi cha kumfanya kuacha shughuli za kufundisha na kuabudu badala yake kujikita kukesha kwenye vikao vya kisiasa kwa siri.
Aidha amejitapa na kudai kuwa alifanya ushawishi kwa Josephine na maaskofu wengine kumuunga mkono mzee Lowassa!
WATANZANIA TUJIULIZE, NI KIPI KILICHOPO NYUMA YA PAZIA KATI YAO?