Judgment Day: May 21, 2011 (Really?)

tena mmemuua osama bin ladeni? lazima iwe mwisho wa dunia kwa kweli...!!:A S 103:
 
hahah Afro kumbe ulienda kanisani mwaka 2000? lakini si unajua siku ukitembea uchi unakutana na wakwe zako
Hahahah
dahhhhh hakuna mwakAmpya mbaya kama ile sintosahau..mama yuko kule baba yuko wapi sijui ni wewe nawadogo zako mmekumbatiana mnasubiri kufa... dahhhhh
ndoo maana huu upuuzi siupi kipaumbele tena..
 
Hizi tetesi mbona zimeanza kushika kasi sana? Anyway 2subuli siku ifike tuone yupi mkweli.
 
Kama unajua neno la Mungu linasemaje, hakuna atakayekubabaisha, maana manabii wa uongo wamejaa tele tunawashuhudia na kila siku wanaongezeka, be ware friends! Na aliyetangaza habari hizo hapa Tz amesema kama unabii wake hautatimia afanywe kama manabii wengine wa walivyofanywa katika Biblia Takatifu, yaani kupigwa mawe hadi kufa!!!! Langu jicho na sikio :mod::mod::mod::mod::mod:
 

Kweli ,ni true story kaka ponda mali kufa kwaja.Ni tragedy bab kubwa kufa na kuacha pesa kibao bank na mali nyingi mitaani.
 
Yesu mwenyewe pamoja na Malaika ambao wako mbiguni imeandikwa hawajui siku ya mwisho...je nyie binadamu amabo mko ardhini mtajuaje? Mmeoneshwa na nani wakati Baba Mungu hata Mwanawe hajamwambia? hawa wachungaji wa pesa ndo wanawaharibu WaTanzania.. Mkaambiwa Loliondo na mkaenda...mnaaambiwa mwisho wa Dunia na mnaamini...hivi WaTanzania bado hatujajia Kuchuja eh.. Mpaka Taifa dogo lilipiku taifa kubwa kuliko lote Duniani. ambao inasemakana ni Marekani... ndo Mwisho wa Dunia....ndio umekaribia na hilo Taifa dogo litaipiku marekani likiongozwa na wahalifu...nafkiri mshaelewa ni Taifa gani na wahalifu gani...

Mpaka Israel na Palestina Waache kupigana ndio mwisho wa Dunia....
 
Hakuna aijuaye siku wala saa hata malaika Math.24:36-38 Thes.5:2-3 2Pet.3:10 siku ya Bwana itakuja kama mwivi so sidanganyiki ng'o

Ambacho hutaki ni kipi, kuijua siku na saa au dunia kwisha, naamini unatambua kuna kiama (mwisho wa dunia), na huo mwisho si mpango wa mwanadamu hivyo basi kujua au kutokujua tarehe hakusababishi dunia isiishe!!! Tukumbuke kuwa biblia ni maneno ya MUNGU awaambia watu atakayo kwa wakati ufaao, fikiri kidogo, ikiwa umeambiwa dhahiri kuwa watenda dhambi watahukumiwa adhabu ya kutupwa kwenye ziwa la moto milele hiyo haijakusaidia kuacha dhambi, unadhani hata ukijua siku ya mwisho kwa ugumu wa shingo ulionao unaweza kumlilia MUNGU kwa mapenzi yake akurehemu!!! Kumbuka si utakavyo wewe bali yeye!!.
 
Hakuna aijuaye siku wala saa hata malaika Math.24:36-38 Thes.5:2-3 2Pet.3:10 siku ya Bwana itakuja kama mwivi so sidanganyiki ng'o

Ambacho hutaki ni kipi, kuijua siku na saa au dunia kwisha, naamini unatambua kuna kiama (mwisho wa dunia), na huo mwisho si mpango wa mwanadamu hivyo basi kujua au kutokujua tarehe hakusababishi dunia isiishe!!! Tukumbuke kuwa biblia ni maneno ya MUNGU awaambia watu atakayo kwa wakati ufaao, fikiri kidogo, ikiwa umeambiwa dhahiri kuwa watenda dhambi watahukumiwa adhabu ya kutupwa kwenye ziwa la moto milele hiyo haijakusaidia kuacha dhambi, unadhani hata ukijua siku ya mwisho kwa ugumu wa shingo ulionao unaweza kumlilia MUNGU kwa mapenzi yake akurehemu!!! Kumbuka si utakavyo wewe bali yeye!!.
 
Hakuna aijuaye siku wala saa hata malaika Math.24:36-38 Thes.5:2-3 2Pet.3:10 siku ya Bwana itakuja kama mwivi so sidanganyiki ng'o

Ambacho hutaki ni kipi, kuijua siku na saa au dunia kwisha, naamini unatambua kuna kiama (mwisho wa dunia), na huo mwisho si mpango wa mwanadamu hivyo basi kujua au kutokujua tarehe hakusababishi dunia isiishe!!! Tukumbuke kuwa biblia ni maneno ya MUNGU awaambia watu atakayo kwa wakati ufaao, fikiri kidogo, ikiwa umeambiwa dhahiri kuwa watenda dhambi watahukumiwa adhabu ya kutupwa kwenye ziwa la moto milele hiyo haijakusaidia kuacha dhambi, unadhani hata ukijua siku ya mwisho kwa ugumu wa shingo ulionao unaweza kumlilia MUNGU kwa mapenzi yake akurehemu!!! Kumbuka si utakavyo wewe bali yeye!!.
 
Hakuna aijuaye siku wala saa hata malaika Math.24:36-38 Thes.5:2-3 2Pet.3:10 siku ya Bwana itakuja kama mwivi so sidanganyiki ng'o

Ambacho hutaki ni kipi, kuijua siku na saa au dunia kwisha, naamini unatambua kuna kiama (mwisho wa dunia), na huo mwisho si mpango wa mwanadamu hivyo basi kujua au kutokujua tarehe hakusababishi dunia isiishe!!! Tukumbuke kuwa biblia ni maneno ya MUNGU awaambia watu atakayo kwa wakati ufaao, fikiri kidogo, ikiwa umeambiwa dhahiri kuwa watenda dhambi watahukumiwa adhabu ya kutupwa kwenye ziwa la moto milele hiyo haijakusaidia kuacha dhambi, unadhani hata ukijua siku ya mwisho kwa ugumu wa shingo ulionao unaweza kumlilia MUNGU kwa mapenzi yake akurehemu!!! Kumbuka si utakavyo wewe bali yeye!!.
 
Jamani, kama unataka kutabiri we tabiri mambo mengine, kutabiri mwisho wa dunia unajitafutia kuumbuka bure tu na watu wote kukushangaa.. Mi sijui kwanini watu hua wanajisumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…