Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,018
- 1,791
Sina uhakika mtoa mada alikuwa kajiandaa kutoa mada nahisi kakurupuka! Tanzania hatuna utamaduni wa kushangilia kifo cha mtu (B. Membe) je hata hili hukulisikia na limesemwa na Waziri wako anayejua mambo ya kisiasa ya nchi zingine kwakuwa ni kazi yake kwa miaka mitano na zaidi?!