Jubilee ya miaka 50 ya mh. Freeman aikael Mbowe

Ni sawa kabisa maana mpaka sasa katiba iliyoko inaruhusu uhuru wa mawazo, ila hilo unalofikiri kuwa sahihi kwa sasa anzisha thread yake ili upate michango ya walio wengi, mwenzako kaanzisha thread na jubilee ya Mbowe, wewe usipindishe :A S 465:

Mkuu kuna watu uungwana kwao haupo,yeye amekazana kumsema Mbowe ila hajui Mbowe anaendelea kuifanyia nn CDM
 
Wewe si mwana CDM it seems ni kibaraka wa Magamba kwa hyo ww kaa pembeni utizame chama jinsi kinavyozidi kusonnga mbele,hayo unayoyazungumzia ni mtizamo wako binafsi kwa hyo nawe ho ndio uwezo wako


Mungu anilaani na ukoo wangu wote ulaaniwe kama mimi si chadema!!!!nawasilisha mawazo yangu ya kina yasiyo hata na chembe ya unafiki,huo ndo ukweli!!!!

 
kumbe ni kopo tupu bila mfuniko.


haya bwana mi sichangii tena hii thread!!!!!!!nimetukanwa sana,nimedharirishwa sana kumbe yote hii ni kuitakia mema chadema!!!!!!!!!but happy birthday kamanda mbowe!!!ila yatosha kamanda!!!!wape hata wakina mnyika uone mambo kamanda!!!!!

 
haya bwana mi sichangii tena hii thread!!!!!!!nimetukanwa sana,nimedharirishwa sana kumbe yote hii ni kuitakia mema chadema!!!!!!!!!but happy birthday kamanda mbowe!!!ila yatosha kamanda!!!!wape hata wakina mnyika uone mambo kamanda!!!!!

hahahaa tumetukanwa sana tumedharirishwa sana sasa mwisho....hahaha ..EL?
 
very nice Mungu akupe maisha marefu FREEMAN ALKAEL MBOWE.Peeeeeeeeeeppppppppplllllllllllllllleeeeeeeeeeessssssss............................pppppppppppooooooooooowwwwwwwwweeeeeeeeeerrrrrrrrr
 
Binafsi niko nyuma ya wakati Tanzania ina miaka (47) tokea imeanzishwa 26-4-1964 mpaka 9-12-2011. Kwa hiyo nchi inayosherekea miaka 50 si Tanzania labdo mnisaidie hapo.:spy:
Mwanzisha uzi anamzungumzia Mbowe, ww upo kwenye mshangao wa tarehe ya Uhuru wa Tanganyika.
I
 
Binafsi niko nyuma ya wakati Tanzania ina miaka (47) tokea imeanzishwa 26-4-1964 mpaka 9-12-2011. Kwa hiyo nchi inayosherekea miaka 50 si Tanzania labdo mnisaidie hapo.:spy:
mtoto anasherehekea siku ya kuzaliwa baba yake marehemu anasema ni yeye alizaliwa,
kichekesho.
 
Kwa mwonekano mtu aweza asiamini kama una miaka 50, waonekana kijana mno kumbe uko sawa na Kigunge miaka, nini sasa kimemzeesha Kigunge. Magamba yanazeesha!! jamaa mbona sasa hawataki kuyavua.
 
Makamanda na wapambanaji tunaomba tujumuike na kamanda Freeman Aikael Mbowe (MB) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni ktl ibada ya kutoa sadaka ya shukurani kwa kufikisha miaka 50.ibada itafanyika ktk kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Usharika wa Nshara tarehe 11/12/2011 na baadae kwenye tafrija fupi itakayofanyika Nyumbani kwake Nshara.

Ebu tufahamishe uzuri, hivi Nshara ipo wapi 'Kilimanaro au'? Lakini kwake si Aishi iliyopo Machame? Tufahamishe tukazamie mpunga hata kama kutakuwa na michapo sisi poa tu!
 
nasema uongozi wa chadema katika hali ilopo sasa nchini kama tungepata kamanda halisi pale juu,ccm hawana lao kabisa!!!!kamanda wetu mbowe ana madhaifu mengi ya kiuongozi,tudiscuss hilo!!!!ccm kwa mazingira yaliyopo site hawana lao kama tutapata kamanda wa ukweli!!!!
kuna mashetani matatu nayaona yapo yuma yako yanashughulika kweli kweli!!!

 
Hiyo sherehe itagharamiwa na chama. Huu pia ni ufisadi.
 
Happy birthday kamanda, tupo pamoja tuchangie mchakato wa kupata KATIBA MPYA, uzidi kumsifia Dr. Jk kwa uongozi uliotuka; source hansard
 
Hivi ndivyo vitu vya kujivunia na kusheherekea!!,
Sio ule uhuni ambao haujulikani kama ni maadhimisho kwa ajili ya Tanganyika, Tanzania Bara au just Tanzania!!
 
Happy birthday kamanda freeman mbowe mungu akulinde wewe na famila yako umeifanyia mengi sana chadema na ninaamini utazidi kupata nguvu ili utuongoze katika kipindi ya pili ya ukombozi wa kweli wa nchi katika kujikomboa na katiba bomu ya ccm. Naomba u relax ukitoka huko basi tujipange vizuri ili tuendeleze mapambano yetu ya kupata katiba mpya inayotokana na wananchi.
 
watu wengine ndo walewale akili zao zipo kwenye visigino,yani haziwezi kuona mbali . !
Kwahiyo hapo cdm tulipofika ni kwa upupu wa nape au?
Wacheni ku mis use masaburi yenu,ambayo yanasaidia kukaa na sio kufikiri,na usitutoe kwenye mada,
Modes,ondoeni mada ya huyu bwabwa ndani ya hii thread ya jubilei,
Wishi you long life Mh.mbowe
 
Back
Top Bottom