Jua tofauti ya chawa uchwara na chawa Pro Max wa CCM

Jua tofauti ya chawa uchwara na chawa Pro Max wa CCM

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
5,487
Reaction score
14,064
Ndani ya CCM kuna Chawa uchwara na kuna Chawa Pro Max

Chawa Promax ndio wale wanao kula nchi hawa wako kwenye Mashirika huko wanaompiga B zao huko, hawa ni wale wanao tajagwa kwenye report za CAG, hawa wanakula haswa hii nchi. Pia hawa Pro Max hata humu Jf hawapo huwezi wakuta na hawana muda wa kuwepo humu wako busy sana na Madili yaoa kuimaliza nchi.

Hawa ndio wale unawakuta wanaimba mitano tena ili waendelee kula nchi, hawa ndio wanaomba kuombea amani ili wale kwa amani.

Chawa Uchwara.

Hawa ni choka mbaya wamejaa humu sana na hata huko facebook na mitandao mingine, hawa hakuna wanacho pata zaidi ya kuwatengenezea maisha wale Chawa Pro max.

Hawa Chawa uchwara nifuata mkumbo tu kutwa nzima wako humu kutetea ujinga ilihali unakuta hata Wazazi wao ni choka Mbaya sana kule Bushi kisa sera za kihuni za CCM.

Kazi kubwa ya chawa uchwara ni kulamma miguu wale Chawa Promax na kuwatetea bila hata kutumwa na mbaya kabisa Chawa Pro wala hawawajui hawa Chawa choka mbaya uchwara.
 
Ndani ya CCM kuna Chawa uchwara na kuna Chawa Pro Max

Chawa Promax ndio wale wanao kula nchi hawa wako kwenye Mashirika huko wanaompiga B zao huko, hawa ni wale wanao tajagwa kwenye report za CAG, hawa wanakula haswa hii nchi. Pia hawa Pro Max hata humu Jf hawapo huwezi wakuta na hawana muda wa kuwepo humu wako busy sana na Madili yaoa kuimaliza nchi.

Hawa ndio wale unawakuta wanaimba mitano tena ili waendelee kula nchi, hawa ndio wanaomba kuombea amani ili wale kwa amani.

Chawa Uchwara.

Hawa ni choka mbaya wamejaa humu sana na hata huko facebook na mitandao mingine, hawa hakuna wanacho pata zaidi ya kuwatengenezea maisha wale Chawa Pro max.

Hawa Chawa uchwara nifuata mkumbo tu kutwa nzima wako humu kutetea ujinga ilihali unakuta hata Wazazi wao ni choka Mbaya sana kule Bushi kisa sera za kihuni za CCM.

Kazi kubwa ya chawa uchwara ni kulamma miguu wale Chawa Promax na kuwatetea bila hata kutumwa na mbaya kabisa Chawa Pro wala hawawajui hawa Chawa choka mbaya uchwara.
Wataje tuwajue humu!Mimi Sina noma yupo tlaahtlaah na Mwashambwa!Hawa wamezidi.
 
Hali ya uchumi kila siku inakuwa ngumu ndo maana unakuta watu wanajitoa ufaham. Na tunapoelekea hali ikiwa hivi watu watajitoa ufaham watacheza porno bila aiabu.

Deep Pond

Nyau de adriz
 
Ndani ya CCM kuna Chawa uchwara na kuna Chawa Pro Max

Chawa Promax ndio wale wanao kula nchi hawa wako kwenye Mashirika huko wanaompiga B zao huko, hawa ni wale wanao tajagwa kwenye report za CAG, hawa wanakula haswa hii nchi. Pia hawa Pro Max hata humu Jf hawapo huwezi wakuta na hawana muda wa kuwepo humu wako busy sana na Madili yaoa kuimaliza nchi.

Hawa ndio wale unawakuta wanaimba mitano tena ili waendelee kula nchi, hawa ndio wanaomba kuombea amani ili wale kwa amani.

Chawa Uchwara.

Hawa ni choka mbaya wamejaa humu sana na hata huko facebook na mitandao mingine, hawa hakuna wanacho pata zaidi ya kuwatengenezea maisha wale Chawa Pro max.

Hawa Chawa uchwara nifuata mkumbo tu kutwa nzima wako humu kutetea ujinga ilihali unakuta hata Wazazi wao ni choka Mbaya sana kule Bushi kisa sera za kihuni za CCM.

Kazi kubwa ya chawa uchwara ni kulamma miguu wale Chawa Promax na kuwatetea bila hata kutumwa na mbaya kabisa Chawa Pro wala hawawajui hawa Chawa choka mbaya uchwara.
Hapa siafiki sana wazo lako kwani ipo kampeni hasa wakati huu nyeji ya kudunisha fikra na mtazamo wa wanaodai haki na uwazi wa chaguzi zetu.Hivyo kusema huku wapo watu duni ni dharau na kuwafedhehesha Watanzania,hata hao uwaitao chawapro max wanahitaji kujua hatma yao hata kupata mawazo ya wanaowaita duni
 
Ndani ya CCM kuna Chawa uchwara na kuna Chawa Pro Max

Chawa Promax ndio wale wanao kula nchi hawa wako kwenye Mashirika huko wanaompiga B zao huko, hawa ni wale wanao tajagwa kwenye report za CAG, hawa wanakula haswa hii nchi. Pia hawa Pro Max hata humu Jf hawapo huwezi wakuta na hawana muda wa kuwepo humu wako busy sana na Madili yaoa kuimaliza nchi.

Hawa ndio wale unawakuta wanaimba mitano tena ili waendelee kula nchi, hawa ndio wanaomba kuombea amani ili wale kwa amani.

Chawa Uchwara.

Hawa ni choka mbaya wamejaa humu sana na hata huko facebook na mitandao mingine, hawa hakuna wanacho pata zaidi ya kuwatengenezea maisha wale Chawa Pro max.

Hawa Chawa uchwara nifuata mkumbo tu kutwa nzima wako humu kutetea ujinga ilihali unakuta hata Wazazi wao ni choka Mbaya sana kule Bushi kisa sera za kihuni za CCM.

Kazi kubwa ya chawa uchwara ni kulamma miguu wale Chawa Promax na kuwatetea bila hata kutumwa na mbaya kabisa Chawa Pro wala hawawajui hawa Chawa choka mbaya uchwara.

Lukasi, Tlaa'tlaah nawaita tu wandugu
 
Gentleman,
nyumbu ni wale waporomosha matusi mazito huku wakiwa hawana point, ispokua mihemko ya kiwango cha juu sana,

waropokaji, vibaka na matapeli wa kisiasa, ni wale washupaza shingo wakijifanya wakali kweli ila hiyo ni mbinu yao yenye lengo la kupata pesa za michango ya wadau kwa madai ya kazi za chama, kumbe ni kwaajili ya whisky, nyama choma na kubeti 🐒
 
Gentleman,
nyumbu ni wale waporomosha matusi mazito huku wakiwa hawana point, ispokua mihemko ya kiwango cha juu sana,

waropokaji, vibaka na matapeli wa kisiasa, ni wale washupaza shingo wakijifanya wakali kweli ila hiyo ni mbinu yao yenye lengo la kupata pesa za michango ya wadau kwa madai ya kazi za chama, kumbe ni kwaajili ya whisky, nyama choma na kubeti 🐒

Vipi gazeti tena? Huo si ulikuwa wito tu, au?
 
Back
Top Bottom