Rungu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 3,932
- 1,726
Hivi ni sawa kusema jua limezama? Kama linazama huwa linazama wapi, manaake ukweli ni kwamba dunia ndio inayozunguka. Jua liko pale pale. Mbaya zaidi wabongo tunatabia ya kuita Ulaya eti ni majuu, kama vile sisi tupo sehemu flani iliyoko chini. Kijeografia hii si kweli. Hakuna nji iliyeko juu bana. Huko juu kuna mawingu n.k!
Tafadhali changia tueleweshane.
Tafadhali changia tueleweshane.