ondoa shaka kwa hilo ntakukumbushaBwana Mdogo zanishaha nilidhani utakuwa umenielewa.Ni hivi kazi za TRA zinahitaji kwa uwe na kigogo wa kukushika mkono pamoja na vyeti vyako.Umewahi kujiuliza maswali yafuatayo.
[1] Tanzania ina mawaziri wangapi,wakuu wa mikoa wangapi,wakuu wa wilaya wangapi,wakuu wa polisi,magereza,uhamiaji,jwtz,mabalozi...... ?.Ukipata idadi yao fikiria vimemo vingapi vitakuwa mezani kwa Kitilya
[2] Zanzibar wanataka mgao wao wa ajira katika vyombo vyote vya muungano
[3] Makamishna wa TRA nao wana ndugu jamaa na marafiki.
Sikukatishi tamaa bwana mdogo lakini napenda kama utapanua mawazo yako vizuri zaidi kwa kuangalia ajira sehemu nyingine usijepata presh katika umri mdogo.
hii TRA hii!!!
1. una 3.5 gpa na kwenda juu???.. kama hauna,,
2. una MTU MZITO wa kukushika mkono??? kama hauna,,,
3. kama hauna hivyo vigezo juu japo kimojawapo basi ukibahatika written interview,,oral wa hapo 1 na 2
Usiwe na shida ndani ya wiki hii ama wiki ijayo lazima mbivu na mbichi zijulikanae maana leo ndiyo CV zote zimepelekwa kwa consultant kwa ajili ya kuchambuliwa,nimeambiwa CV zilikuwa kama fuso moja.Na huyo consultant ndiye atakaetoa amplitude test.Usiniulize nimeyapata wapi wewe kaa tu mkao wa kuitwa interview ya kuandika
kkkkkkkk?????