JPM piga kazi. Achana na POROJO za kwenye mitandao na magazeti.

moma2k

JF-Expert Member
Dec 12, 2010
1,093
1,408
An idle mind is the workshop of the devil. Watu wanaoshinda kwenye mitandao ni wavivu,hawataki kufanya kazi. Hivyo wamegeuka majiko ya kupika uwongo na majungu dhidi ya serikali. Na wengine wana sura ya kukodiwa kwa kazi hiyo isiyo ya kizalendo. JPM piga kazi. Wananchi tunakuunga mkono kwa 100%. Wewe ni raisi, ibara ya 33 ya katiba ya jamuhuri yetu imekupa mdaraka ya kutosha. Usihangaike na kelele za milango na wavivu wa kufanya kazi. Continue rolling the ball of development. Wanaopiga kelele walizoea kuishi kwa "madili"(wengine wanashindwa hata kumalizia ujenzi wa nyumba zao)bila kufanya kazi wala kuumiza vichwa. Sasa wanaisoma namba. Matawi ya miti yanavunjika. "Life is suffering". JPM usilegeze policy na falsafa yako hata kwa herufi moja. Kazi kamba. Watakuelewa baadaye. Pengine computer zao zinafunguka polepole mno.
 
An idle mind is the workshop of the devil. Watu wanaoshinda kwenye mitandao ni wavivu,hawataki kufanya kazi. Hivyo wamegeuka majiko ya kupika uwongo na majungu dhidi ya serikali. Na wengine wana sura ya kukodiwa kwa kazi hiyo isiyo ya kizalendo. JPM piga kazi. Wananchi tunakuunga mkono kwa 100%. Wewe ni raisi, ibara ya 33 ya katiba ya jamuhuri yetu imekupa mdaraka ya kutosha. Usihangaike na kelele za milango na wavivu wa kufanya kazi. Continue rolling the ball of development. Wanaopika kelele walizoea kuishi kwa "madili", bila kifanya kazi wala kuumiza vichwa. Sasa wanaisoma namba. Matawi ya miti yanavunjika. "Life is suffering".
Stupid
 
An idle mind is the workshop of the devil. Watu wanaoshinda kwenye mitandao ni wavivu,hawataki kufanya kazi. Hivyo wamegeuka majiko ya kupika uwongo na majungu dhidi ya serikali. Na wengine wana sura ya kukodiwa kwa kazi hiyo isiyo ya kizalendo. JPM piga kazi. Wananchi tunakuunga mkono kwa 100%. Wewe ni raisi, ibara ya 33 ya katiba ya jamuhuri yetu imekupa mdaraka ya kutosha. Usihangaike na kelele za milango na wavivu wa kufanya kazi. Continue rolling the ball of development. Wanaopiga kelele walizoea kuishi kwa "madili"(wengine wanashindwa hata kumalizia ujenzi wa nyumba zao)bila kufanya kazi wala kuumiza vichwa. Sasa wanaisoma namba. Matawi ya miti yanavunjika. "Life is suffering". JPM usilegeze policy na falsafa yako hata kwa herufi moja. Kazi kamba. Watakuelewa baadaye. Pengine computer zao zinafunguka polepole mno.
Rubbish.
 
An idle mind is the workshop of the devil. Watu wanaoshinda kwenye mitandao ni wavivu,hawataki kufanya kazi. Hivyo wamegeuka majiko ya kupika uwongo na majungu dhidi ya serikali. Na wengine wana sura ya kukodiwa kwa kazi hiyo isiyo ya kizalendo. JPM piga kazi. Wananchi tunakuunga mkono kwa 100%. Wewe ni raisi, ibara ya 33 ya katiba ya jamuhuri yetu imekupa mdaraka ya kutosha. Usihangaike na kelele za milango na wavivu wa kufanya kazi. Continue rolling the ball of development. Wanaopika kelele walizoea kuishi kwa "madili", bila kifanya kazi wala kuumiza vichwa. Sasa wanaisoma namba. Matawi ya miti yanavunjika. "Life is suffering".
Ng'ombe wewe.....mwambie afuate katiba na sheria za nchi...
Alafu mwambie asiwe ndumila kuwili
Tuulizie yeye na bashite wameana/wanapeana nn mpaka wamefikia hatua hiyo?
 
An idle mind is the workshop of the devil. Watu wanaoshinda kwenye mitandao ni wavivu,hawataki kufanya kazi. Hivyo wamegeuka majiko ya kupika uwongo na majungu dhidi ya serikali. Na wengine wana sura ya kukodiwa kwa kazi hiyo isiyo ya kizalendo. JPM piga kazi. Wananchi tunakuunga mkono kwa 100%. Wewe ni raisi, ibara ya 33 ya katiba ya jamuhuri yetu imekupa mdaraka ya kutosha. Usihangaike na kelele za milango na wavivu wa kufanya kazi. Continue rolling the ball of development. Wanaopiga kelele walizoea kuishi kwa "madili"(wengine wanashindwa hata kumalizia ujenzi wa nyumba zao)bila kufanya kazi wala kuumiza vichwa. Sasa wanaisoma namba. Matawi ya miti yanavunjika. "Life is suffering". JPM usilegeze policy na falsafa yako hata kwa herufi moja. Kazi kamba. Watakuelewa baadaye. Pengine computer zao zinafunguka polepole mno.
Naunga mkono hoja, na moja ya kelele kubwa sana ni ile kelele ya kumhusu Daudi Bashite, tumeisha thibitisha ni uongo na uzushi na tumesema hapa
https://www.jamiiforums.com/threads...afanikio-yake-makonda-wapuuze.1208888/page-16
Pia tukampongeza kwa kuzipuuzia.
https://www.jamiiforums.com/threads...-mlango-zisikukoseshe-usingizi.1208139/page-3

Paskali
 
Mitandao imeanza lini? Udumavu wa maendeleo ya waTZ umeanza lini?.
Kisingizio kimekuwa mitandao badala ya mitandao kuwa ufumbuz?. Wananchi wangapi wanatumia mitandao? Acha ubwege ndg yangu. You are better kuliko huo utumbo ulioandika. Inuka, saa ni hii. Jitambue,
ameipataaaa iyooo mkuu
 
Back
Top Bottom