tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Mwenye Kiti mstaafu wa TAMWA Joyce Shebe anasema “Watanzania wamempokea na kumkubali Dokta Samia Suluhu Hassan katika kampeni za Uchaguzi kutokana na hoja nzito anazozitoa kama vile kuboresha matibabu kwa wasio na uwezo” Joyce Shebe – Mwenye Kiti mstaafu wa TAMWA