ngalakeri
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 1,648
- 1,379
Kwa kesi hii mwisho wa yote Mungu atajidhihirisha, ndivyo alivyofanya baada ya vilio vingi vya wanadamu wasiokuwa na hatia, baada ya kuona kila mtu anakata tamaa ya kupatikana tumaini tena, Mungu alijidhihirisha. Huwezi kutunga uongo mkubwa hivi juu ya binadamu mwenzako Mungu akanyamaza. Tuvute subira.