Kiturilo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 709
- 2,858
Shahidi: Aliniambia (Freeman Mbowe) pole sana kwa kukuweka, yule mlinzi wake alinifungulia mlango wa gari na yeye mwenyekiti aliingia na nyuma aliingia aliyokuwa mbunge wa viti Maalum Joyce Mukya nikakaa katikati na upande wa nyuma wa Mbowe akakaa mlinzi wake.
Shahidi: Baada ya pale kutoka Kizo hotel gari ilielekea uelekeo wa Arusha mpaka Aishi Hotel Machame. Baada ya kushuka kwenye gari alimwambia yule mbunge (Joyce Mukya) atangulie ndani sisi tuna kikao kifupi.
Shahidi: Baada ya pale kutoka Kizo hotel gari ilielekea uelekeo wa Arusha mpaka Aishi Hotel Machame. Baada ya kushuka kwenye gari alimwambia yule mbunge (Joyce Mukya) atangulie ndani sisi tuna kikao kifupi.