Josephine03
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 752
- 302
Yaani nimefungua TV namkuta J Kiria anafanya mahojiano na watu wazima sijajua subject ila akaaza kumlaZimisha yule mzee mmoja ataje nguo za ndani ni zipi yule mzee kwa ustaarabu hakutaja, akampoint mwingine naye ktk kuchangia akasema si vizuri beki3 kufua nguo za ndani za mabosi, sasa hapa akamng'ang'ania azitaje na yule kwa maneno ya haiba akataja pichu....... Naona mbele kama wameedit maana ikaruka. Namshauri elimu sio form 1- 6 kama anavyofikiria alafu hajachelewa she is still young for her Carrier. Mlio karibu naye msaidieni