mankind
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 233
- 86
OMG hivi kumbe kaishia std VII?!alikua anafanya nini siku zote asijiendeleze?
Pole yake!
pole yake wakati Ana pesa zaidi yako. elimu kitu gani .
OMG hivi kumbe kaishia std VII?!alikua anafanya nini siku zote asijiendeleze?
Pole yake!
Bongo bana! eti na huyu dada ana host kipindi kwenye national Tv! upstair hamna kitu kabisa! hana mtiririko wa maswali hana target! still eti anajifananisha na Oprah!!.. Oprah myAss!!
joyce kiria ni fighter, pamoja na mapungufu yake yote but still kipindi chake kimewakamata wengi na kinamwingizia ela pia kina inspire wakina dada na wanawake wengine kufight.
Hawezi kuwa kama oprah na mapungufu lazima lakini isiwe sababu ya kumkatisha tamaa kafight sana mpaka kipindi amekifikisha kilipo.
Super Woman Joyce. Wewe ni mfano wa kuigwa