Joyce Banda realy annoys

Joyce Banda realy annoys

mossad007

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
1,165
Reaction score
852
Nilikua naangalia Al Jazeera leo asubuhi Joyce Banda anahojiwa ikiwa ni mwaka mmoja tangu aingie madarakani alipoulizwa kuhusu mgogoro wa Nchi yake na Tanzania juu ya ziwa Nyasa akajibu " I am 62 yrs Old and i knw that lake to belong to no one rather than Malawi" kwa view yangu kama swala hili limeshafikishwa kwenye vyombo husika vya usuluhishi au kama wanavyotaka wao kulipeleka ICJ kauli kama hii ni insultation kw taifa la Tanzania. She luck respect kwa Watanzania!
 
Ngoja ashikishwe adabu akili imkae sawa..
 
Nilikua naangalia Al Jazeera leo asubuhi Joyce Banda anahojiwa ikiwa ni mwaka mmoja tangu aingie madarakani alipoulizwa kuhusu mgogoro wa Nchi yake na Tanzania juu ya ziwa Nyasa akajibu " I am 62 yrs Old and i knw that lake to belong to no one rather than Malawi" kwa view yangu kama swala hili limeshafikishwa kwenye vyombo husika vya usuluhishi au kama wanavyotaka wao kulipeleka ICJ kauli kama hii ni insultation kw taifa la Tanzania. She luck respect kwa Watanzania![/QUOTE]

Ukimaanisha?
 
Yule mama ni mfa maji...anatapatapa maana mambo yake kisiasa nchini Malawi si mazuri sana
 
yule mama ni mfa maji...anatapatapa maana mambo yake kisiasa nchini malawi si mazuri sana

semeni hivyohivyo mama anataka ziwa lote liwe lake, na uvivu wa ccm atachukua!
 
Kila mtu anataka umaarufu kupitia mgongoni mwa Tanzania . Wacha aendelee kusema hivyo hivyo wakati wavuvi wa Tanzania wanaendelea kula samaki na kuishi maisha yao kama kawaida.
 
Mh!na kwa taarifa tu dada Joy tuna ushahidi unaolingana na mlima kilimanjaro kama ule wa kesi na DOWANS!
 
Anachokifanya ni kuhangaika na Ziwa Nyasa badala ya kujijenga kisiasa nchini mwake. Udhaifu huo utamweka pabaya kwani wapinzani wameshamwona analeta ugombanishi wa nchi jirani jambo ambalo kwa mfumo wa mipaka ya ulimwengu wa leo mpaka hauwezi kuamuliwa kuwa nje ya maji wakati nchi zina mpaka kupitia maji. Angejaribu kusoma usuluhishi wa nchi kadhaa ambazo zilikuwa na matatizo ya mipaka kama ilivyo hili na jinsi uamuzi wa kimataifa ulivyofikiwa.
 
Huyu na Sarah palin wananichefua .

Hahaha Sarah palin kw lipi? Skuiz naskia karud kua activist sijui na yule mwanaye alijifungua ana miaka 16 boyfnd wake 17 ndo wakammaliza kbsa kisiasa
 
Hahaha Sarah palin kw lipi? Skuiz naskia karud kua activist sijui na yule mwanaye alijifungua ana miaka 16 boyfnd wake 17 ndo wakammaliza kbsa kisiasa
Sauti yake Sarah palin inaniumiza kichwa.Hiyo ya Joyce Banda sijui itakuwaje
 
Asikusumbue akili huyo! Huyo ni husband snatcher na watu kama hao Mungu huwa anawanyima akili so asikupe taabu hana akili huyo. Hilo ziwa hatunyang'anyi ng'o!!!! Mungu atatutetea watz.
Nilikua naangalia Al Jazeera leo asubuhi Joyce Banda anahojiwa ikiwa ni mwaka mmoja tangu aingie madarakani alipoulizwa kuhusu mgogoro wa Nchi yake na Tanzania juu ya ziwa Nyasa akajibu " I am 62 yrs Old and i knw that lake to belong to no one rather than Malawi" kwa view yangu kama swala hili limeshafikishwa kwenye vyombo husika vya usuluhishi au kama wanavyotaka wao kulipeleka ICJ kauli kama hii ni insultation kw taifa la Tanzania. She luck respect kwa Watanzania!
 
Mpuuzi huyo, inawezekana bado anaendelea kuvuta bangi ..
 
Back
Top Bottom