PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Mweka mabandiko maarufu wa hapa ndani anayekwenda kwa jina la JOURNAL PAPE amesalimu amri kwa mchokozi wake, na ameamua kuwaagiza mods wa'deactivate' kabisa ukumbi wake wa kutuma na kutumiwa PM's!
Na ikumbukwe jana alitoa malalamiko kuwa kuna mtu hapa ndani anamtukana sana katika pm!
Pole Mkuu, lakini unatukosesha wote mawasiliano ya ukaribu na wewe...!
Na ikumbukwe jana alitoa malalamiko kuwa kuna mtu hapa ndani anamtukana sana katika pm!
Pole Mkuu, lakini unatukosesha wote mawasiliano ya ukaribu na wewe...!