Joto kwa wachimbaji Wadogowadogo

Yenga08

JF-Expert Member
Jul 7, 2019
464
891
Habari zenu wana janvi.., Kuna kitu kinaniumiza saaana kwa sas kuhusu WACHIMBAJI WADOGOWADOGO.

Toka afariki aliyekuwa Rais wetu imeanza kujitokeza chokochoko katika migodi midogomidogo huko Geita pamoja na Shinyanga.

Migodi hii ni moja ya sekta ambayo imeajili watu wengi saaana warika na elimu tofautitofauti.

Tunamuomba saana mama yetu huyu mama Samia Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania atazame kwa jicho la pili sekta hii, maana kuna watumishi wake tayari wameshaanza kufanya yao.

Joto ni kubwa saana kwa sas maana hofu kubwa nikufukuzwa katika migodi hiyo ambayo Rais aliyetangulia alituhakikishia kufanya kazi kwa amani na utulivu.

Tunamuomba sana mam yetu Samia pamoja na jopo lake kwa ujumla watulinde ili na sisi tunaopata riziki kupitia sekta hii tuendelee kuwa na amani katika hii kazi yetu ya uchimbaji.., maana wao ndio wenye maamlaka katika Nchi hii. Mungu ibariki Tanzania., Mungu bariki kazi ya mikono yetu.
 
Habari zenu wana janvi.., Kuna kitu kinaniumiza saaana kwa sas kuhusu WACHIMBAJI WADOGOWADOGO.
Toka afariki aliyekuwa Rais wetu imeanza kujitokeza chokochoko katika migodi midogomidogo huko Geita pamoja na Shinyanga.
Migodi hii ni moja ya sekta ambayo imeajili watu wengi saaana warika na elimu tofautitofauti.
Tunamuomba saana mama yetu huyu mama Samia Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania atazame kwa jicho la pili sekta hii, maana kuna watumishi wake tayari wameshaanza kufanya yao.
Joto ni kubwa saana kwa sas maana hofu kubwa nikufukuzwa katika migodi hiyo ambayo Rais aliyetangulia alituhakikishia kufanya kazi kwa amani na utulivu.
Tunamuomba sana mam yetu Samia pamoja na jopo lake kwa ujumla watulinde ili na sisi tunaopata riziki kupitia sekta hii tuendelee kuwa na amani katika hii kazi yetu ya uchimbaji.., maana wao ndio wenye maamlaka katika Nchi hii. Mungu ibariki Tanzania., Mungu bariki kazi ya mikono yetu.
Acha nchi hii irekebishwe iliharibiwa mno.
 
Habari zenu wana janvi.., Kuna kitu kinaniumiza saaana kwa sas kuhusu WACHIMBAJI WADOGOWADOGO.
Toka afariki aliyekuwa Rais wetu imeanza kujitokeza chokochoko katika migodi midogomidogo huko Geita pamoja na Shinyanga.
Migodi hii ni moja ya sekta ambayo imeajili watu wengi saaana warika na elimu tofautitofauti.
Tunamuomba saana mama yetu huyu mama Samia Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania atazame kwa jicho la pili sekta hii, maana kuna watumishi wake tayari wameshaanza kufanya yao.
Joto ni kubwa saana kwa sas maana hofu kubwa nikufukuzwa katika migodi hiyo ambayo Rais aliyetangulia alituhakikishia kufanya kazi kwa amani na utulivu.
Tunamuomba sana mam yetu Samia pamoja na jopo lake kwa ujumla watulinde ili na sisi tunaopata riziki kupitia sekta hii tuendelee kuwa na amani katika hii kazi yetu ya uchimbaji.., maana wao ndio wenye maamlaka katika Nchi hii. Mungu ibariki Tanzania., Mungu bariki kazi ya mikono yetu.
Acha woga kijana !

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wana janvi.., Kuna kitu kinaniumiza saaana kwa sas kuhusu WACHIMBAJI WADOGOWADOGO.
Toka afariki aliyekuwa Rais wetu imeanza kujitokeza chokochoko katika migodi midogomidogo huko Geita pamoja na Shinyanga.
Migodi hii ni moja ya sekta ambayo imeajili watu wengi saaana warika na elimu tofautitofauti.
Tunamuomba saana mama yetu huyu mama Samia Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania atazame kwa jicho la pili sekta hii, maana kuna watumishi wake tayari wameshaanza kufanya yao.
Joto ni kubwa saana kwa sas maana hofu kubwa nikufukuzwa katika migodi hiyo ambayo Rais aliyetangulia alituhakikishia kufanya kazi kwa amani na utulivu.
Tunamuomba sana mam yetu Samia pamoja na jopo lake kwa ujumla watulinde ili na sisi tunaopata riziki kupitia sekta hii tuendelee kuwa na amani katika hii kazi yetu ya uchimbaji.., maana wao ndio wenye maamlaka katika Nchi hii. Mungu ibariki Tanzania., Mungu bariki kazi ya mikono yetu.
Magu alipofauli ni migodini esp kwa wachimbaji wadogodogo tutammis mbona
 
Habari zenu wana janvi.., Kuna kitu kinaniumiza saaana kwa sas kuhusu WACHIMBAJI WADOGOWADOGO.
Toka afariki aliyekuwa Rais wetu imeanza kujitokeza chokochoko katika migodi midogomidogo huko Geita pamoja na Shinyanga.
Migodi hii ni moja ya sekta ambayo imeajili watu wengi saaana warika na elimu tofautitofauti.
Tunamuomba saana mama yetu huyu mama Samia Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania atazame kwa jicho la pili sekta hii, maana kuna watumishi wake tayari wameshaanza kufanya yao.
Joto ni kubwa saana kwa sas maana hofu kubwa nikufukuzwa katika migodi hiyo ambayo Rais aliyetangulia alituhakikishia kufanya kazi kwa amani na utulivu.
Tunamuomba sana mam yetu Samia pamoja na jopo lake kwa ujumla watulinde ili na sisi tunaopata riziki kupitia sekta hii tuendelee kuwa na amani katika hii kazi yetu ya uchimbaji.., maana wao ndio wenye maamlaka katika Nchi hii. Mungu ibariki Tanzania., Mungu bariki kazi ya mikono yetu.
Tatizo moja tu ninaloliona kipindi cha meko, sheria nyingi zipo, ila zilitupiliwa mbali, kwa manufaa yake ya kisiasa tu, ila kuna sehemu maamuzi hayo yalileta kero kwa wengine!!sasa pale awamu hii itakapotaka kurudisha usimamizi wa sheria hizo kuna watu lazima wataumia tu.kwani kuna baadhi ya sehemu wachimbaji walivamia maeneo ya watu, wakaanza kuchimba, wenye maeneo wakaenda mahakamani, mahakama zikawa zinaogopa kutoa hukumu, kwa kuona meko ataichukuliaje hiyo hukumu!!au zinatoa lakini kuzitekereza zikawa ngumu, sasa leo hayupo ndio balaa linaanzia hapo.Hata suala hili la machinga ni muda tu nako lazima kitawaka tu, halimashauri zitakapoanza kusimamia sheria zake.kwani mengi yalifanywa kwa hisani tu kwa kuvunja sheria.
 
Magu na Biteko walijua kuwatumia wachmbaji wadogo wadogo kupora maeneo ya wawekezaji wa nje sababu ni Uzalendo usiokua na msingi..Uchimbaji wa kutumia koleo na moko kwa dunia ya sasa ts nothng zaidi ya uharibifu wa mazingira..
Retention licences zilipelekwa wapi mabeberu nilisikia walinyangwanywa zote. Sheria inasemaje
 
Habari zenu wana janvi.., Kuna kitu kinaniumiza saaana kwa sas kuhusu WACHIMBAJI WADOGOWADOGO.
Toka afariki aliyekuwa Rais wetu imeanza kujitokeza chokochoko katika migodi midogomidogo huko Geita pamoja na Shinyanga.
Migodi hii ni moja ya sekta ambayo imeajili watu wengi saaana warika na elimu tofautitofauti.
Tunamuomba saana mama yetu huyu mama Samia Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania atazame kwa jicho la pili sekta hii, maana kuna watumishi wake tayari wameshaanza kufanya yao.
Joto ni kubwa saana kwa sas maana hofu kubwa nikufukuzwa katika migodi hiyo ambayo Rais aliyetangulia alituhakikishia kufanya kazi kwa amani na utulivu.
Tunamuomba sana mam yetu Samia pamoja na jopo lake kwa ujumla watulinde ili na sisi tunaopata riziki kupitia sekta hii tuendelee kuwa na amani katika hii kazi yetu ya uchimbaji.., maana wao ndio wenye maamlaka katika Nchi hii. Mungu ibariki Tanzania., Mungu bariki kazi ya mikono yetu.
Fafanua zaidi mkuu,bado hujaeleweka
 
Habar yako Mr.mmi nafikilia ungejazia nyama ktk taarifa yako.kuona vitu ambavyo unaanza kuviona vigeni kwako yawezekana vinaboreshwa au vinabomolewa so embu funguka zaidi.yawezekana jambo hilo likawa msaada sehemu nyingine pia

Sent from my itel it1408 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom