Joto kwa wachimbaji Wadogowadogo

Joto kwa wachimbaji Wadogowadogo

Joto hilo ni nyuzi joto ngapi??
Bado wamachinga waliojipa vibali vya kuchafua majiji.
Nchi ilikuwa imefikia mahali BORA liende ilimradi mtu kaitwa mpiga kura na kalipia tu kitambulisho.
Wacha nchi iendeshwe kwa sheria na kanuni.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Na nyie mkishamake muwe mnaondoka huko mnaenda wekeza mijini ..wasukuma mkojee??khaa..jitu lina 20 yrs lipo tu huko ..chaa..
Wasukuma baba zangu, kuna mmoja alikuja Kilosa alilima mpunga eka kama 4, akapata gunia 120, akauza zote, akafanya sherehe ya kuuaga umaskini, akarudi kwao huko. Miezi mi4 bandage akarudi hana hata hela ya kulimia, na kila akilima tokea hapo anaangukia pua.

Sijui hata kilimkuta nini?? Na hao kuna kitu kinawakumba!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Wanyonge walinyanyasa sana wafanyabiashara wakubwa, waliuza vitu milangoni pa walipa kodi wakubwa hivyo kuzuia wasiuze kabisa.

Nafikiri dawa ya mnyukano huu ni kila mtu kutengewa eneo lake sawa na biashara zake...very soon machinga wataanza kulia pia
Watalia sana walikua wakifurahi matajiri wakiumia basi wao meno nje..shenzi typ
 
Wasukuma baba zangu, kuna mmoja alikuja Kilosa alilima mpunga eka kama 4, akapata gunia 120, akauza zote, akafanya sherehe ya kuuaga umaskini, akarudi kwao huko. Miezi mi4 bandage akarudi hana hata hela ya kulimia, na kila akilima tokea hapo anaangukia pua.

Sijui hata kilimkuta nini?? Na hao kuna kitu kinawakumba!

Everyday is Saturday............................... 😎
Gunia 120 unafanya sherehe?😆😆😆 dingi yangu anakusanya zaidi ya 600gunia kila mwaka anauza as mchele wenyewe dah ...atakua alienda kuoa au akaenda kwa waganga
 
Watalia sana walikua wakifurahi matajiri wakiumia basi wao meno nje..shenzi typ
Hivi kuna mji wowote ambao biashara kubwa hazijavurugwa na machinga?
Naona hadi barabara nyingi magari hayapiti ni machinga wamefunga
 
Ninaomba pia kujulishwa madini yanayopatikana Kigoma na lindi

Ziwa tanganyika kuna mafuta na gesi, kuna madini ya chokaa, kuna green tomalin maeneo ya kitema, kuna dhahabu na Nickel upande wa manyovu kwa uchache kuhusu kigoma

LINDI: wana dhahabu hasa uelekeo wa nachingwea, wana gypsum hasa ukanda wa kilwa, lakini pia wana graphite upande huohuo wa kilwa kilwa
 
Back
Top Bottom