Joto kali sana jiji la Dar, kulikoni?

Joto kali sana jiji la Dar, kulikoni?

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
450
Jamani sio mchezo joto joto Dar mpaka unashindwa kugusana na mwenzio maana unamkuta yuko chapachapa na jasho .

Kuna jamaa yangu wa Kariakoo anasema inabidi awake mpira wa kulalia maana maji yanayomtoka kama amejikojolea.

Kama kweli jamaa zetu wa Jangwani chonde chonde.
 
Jamani sio mchezo joto joto dar mpaka unashindwa kugusana na mwenzio maana unamkuta yuko chapachapa na jasho kuna jamaa yangu wa kariakoo anasema inabidi awake mpira wa kulalia maana maji yanayomtoka kama amejikojolea ... Kama kweli jamaa zetu wa jangwani chonde chonde

mvua ilipiga wiki iliyopita maeneo ya Mbagala gongo la mboto ubungo lakini kinondoni hakuna hata tone
 
Njooeni lushoto waghoshi kwa wavyee mpate na kabaridi hahahahah
 
Njoo mby kwa raha zetu hamna shida kama huko mmekalia ujanja ujanja tu
 
Mmm jamaa wa jangwani unamaanisha timu niipendayo ya mpira wa miguu?
 
dar kuna joto lisilo la kawaida nimekaa hapo.mwezi haikuwa kazi rahisi
 
Mmm jamaa wa jangwani unamaanisha timu niipendayo ya mpira wa miguu?

Hapana mkuu ni walejamaa wasiotaka kuhama kabisa jangwani pamoja na Mafuriko yanayowakumba kila mwaka
 
Huku mitaa ya kwetu tunalala nje tu sasa maana hakuna namna.
 
Back
Top Bottom