Acha ujinga kuvunja watu moyo,unataka kutuambia John Mnyika na H.Mdee ni magamba???? au unafikiri MakongoroAje dar kufanya nini wakati watu wa dar bado mpo busy kuwachagua magamba? Haina hata haja ya kuja huko inaonekana CCM ni mkameroon wa wadar!
CDM tunaomba mtutendee haki watu wa Dar es salaam,kwa kumuandalia mapokezi makubwa
mbunge mteule J Nassary,kabla hajaenda kuapishwa Dodoma.PLEASEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!