Joshua nasari na visima meru

Joshua nasari na visima meru

mmaranguoriginal.

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4,060
Reaction score
460
WANABODI, Nawasalimu nyote nilikuwa ngerenanyuki kwa ajili ya ziara za kichama za ccm tumekutana na matatizo mengi ya wananchi wa maeno yale kubwa haswa ni ahadi aliyotoa mbunge wao wa chadema kipindi cha kampeni kwa kuwajengea kisima lakini mpaka sasa hakuna kilichofanyika,hii ni hatari kwa hata viongozi wa upinzani kuwadanganya wananchi na kutoa ahadi hewa,nasari kuwa makini hili ni mtego kwako 2015,ukirudi tena ni ndoto tuombee MUNGU tusifike huko, kumbuka ni visima vingapi uliwahaidi wanameru na vile vya mzee ndesamburo.nawasilisha
 
ndesamburo alihaidi visima baada ya siku mbili kumbe hewa. Namuonea huruma nassary 2015, kuna mtu anaitwa sarakikya wa ccm si dhani km hatamng`ang`ania shati 2015, yaani joshua akipita ni bahati mno, let us wait
 
Neema inakuja subirini tumalize inshu ya katiba yawatanganyika kwanza
 
Kuna utafiti tunamalizia kuhusu utendaji wa Nassari miaka miwili baada kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki, tutayaweka hapa JF soon. Mambo mengi yalishindikana tangu tupate uhuru 1961 ila yamewezekana kwa miaka miwili tu.

Kudos Joshua Nassari !
 
Last edited by a moderator:
Wabunge wa CCM ndiyo hatari kabisa pamoja na mwenyekiti wao wameahidi Tanzania nzima.Ahadi walizotekeleza hata robo hawajafika walichofanikiwa kwa asilimia100 ni kuongeza deni la Taifa na kufikia trilioni40.Ahadi zingine wameshindwa kabisa kuteleleza wanasubiri mwaka 2015 ufike waje wazitumia kuwadanganyishia wananchi kuwa tuchagueni ili tumalizie kile kilichosalia.
 
Kuna utafiti tunamalizia kuhusu utendaji wa Nassari miaka miwili baada kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki, tutayaweka hapa JF soon. Mambo mengi yalishindikana tangu tupate uhuru 1961 ila yamewezekana kwa miaka miwili tu.

Kudos Joshua Nassari !

Mkuu tehe tehe lakini asingetoa ahadi hii kama hakuwa na uhakika
 
Last edited by a moderator:
Wabunge wa CCM ndiyo hatari kabisa pamoja na mwenyekiti wao wameahidi Tanzania nzima.Ahadi walizotekeleza hata robo hawajafika walichofanikiwa kwa asilimia100 ni kuongeza deni la Taifa na kufikia trilioni40.Ahadi zingine wameshindwa kabisa kuteleleza wanasubiri mwaka 2015 ufike waje wazitumia kuwadanganyishia wananchi kuwa tuchagueni ili tumalizie kile kilichosalia.

usinikumbushe hili deni mkuu naweza pata presha
 
mleta mada unajua nassari aliahidi visima vingapi??? na maeneo gani??? unajua ngare nanyuki ni sehemu ndoogo tu ya jimbo lake??? je umefika na maeneo mengine ukaona??? umefika wapi tena??? kwa utafiti wangu binafsi wa kutumia social media Nassari ni mmoja wabunge ambao ni mfano wa kuigwa na ningependa hata awe mbunge wa jimboni kwangu Kigamboni.
 
Mkuu mbona visima vilichimbwa ila sample ya maji yana chloride nyingi sana hayafai kwa hiyo ni lazma maji ya chemchemu chini ya Idara ya maji ihusike sio kwa mtu mmoja ambae nguvu yake ni visima tu.
 
mleta mada unajua nassari aliahidi visima vingapi??? na maeneo gani??? unajua ngare nanyuki ni sehemu ndoogo tu ya jimbo lake??? je umefika na maeneo mengine ukaona??? umefika wapi tena??? kwa utafiti wangu binafsi wa kutumia social media Nassari ni mmoja wabunge ambao ni mfano wa kuigwa na ningependa hata awe mbunge wa jimboni kwangu Kigamboni.

Media zina wabunge wake...na wananchi wana wabunge wao!!!
 
Mkuu, Tunashukuru kwa taarifa uliyotoa. Ila kama uko kwny Siasa au unategemea siku moja kuingia katika Siasa Nchi hii then yabd ufahamu ni kwa namna gani wabunge wanavyofanya kazi majimboni kwao. Hii itakusaidia katika kukujenga kisiasa na pia utakufanya uongeze uwezo wako wa kufkiria ili siku nyingine usije kumuattack mbunge yoyote kwa very Poor argument kama hii uliyoitoa.

Sijui ni mangapi aliyoyafanya Nassari Jimboni kwake na siko hapa kumtetea, Lakini kama ni suala la kutotimiza ahadi ya kisima katika hicho Kijiji ingetakiwa kwanza kuuliza kwa nn hakuna kisima hapo na jitihada gani zinafanyika ktk hilo. As far as I knw Ofisi za wabunge wote huwa ziko wazi kwa yeyote mwny kero au kutaka kujua.

Kama unataka kutumia Hoja ya kutotimiza ahadi kwa mtu kurudi Bungeni au kuongoza, Then ingebd ujiulize pia ni ahadi ngapi ambazo Ccm hawajatimiza na je wanastahili kuwepo madarakani kama hcho ndicho kigezo chako/ chenu cha uwezo wa mtu kuongoza ?

Jipange.....!!!!!!!!
 
WANABODI, Nawasalimu nyote nilikuwa ngerenanyuki kwa ajili ya ziara za kichama za ccm tumekutana na matatizo mengi ya wananchi wa maeno yale kubwa haswa ni ahadi aliyotoa mbunge wao wa chadema kipindi cha kampeni kwa kuwajengea kisima lakini mpaka sasa hakuna kilichofanyika,hii ni hatari kwa hata viongozi wa upinzani kuwadanganya wananchi na kutoa ahadi hewa,nasari kuwa makini hili ni mtego kwako 2015,ukirudi tena ni ndoto tuombee MUNGU tusifike huko, kumbuka ni visima vingapi uliwahaidi wanameru na vile vya mzee ndesamburo.nawasilisha

dhaifu ...
 
Mkuu mbona visima vilichimbwa ila sample ya maji yana chloride nyingi sana hayafai kwa hiyo ni lazma maji ya chemchemu chini ya Idara ya maji ihusike sio kwa mtu mmoja ambae nguvu yake ni visima tu.

mkuu hebu nipe jina la kijijini palipochimbwa hivyo visima kwa manafua ya hansadi zangu.
 
Bado nakumbuka ahadi ya meli ziwa victoria,naona muda unazidi yoyoma hata dalili sizioni
 
Back
Top Bottom